Edoedward1
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 795
- 309
Kwan wew una hilo tatizo?Jamani SI utoe maelezo hapa hapa kila mtu afaidike
Hili Tangazo ungeliweka PM tuuu MKUU maana huko ndo utapata wanunuajiHABARI WANA JF
kwa wale woote wenye kusumbulia na tatizo la kukojoa kitandani iwe mtoto au mtu mzima dawa zipo tatizo hilo mungu akipenda huondoka ndani ya siku 3 tu pm
Hakuna dawa nilimpatia, hua anakojoa mara moja. Kuhusu kutingisha mguu sijajua kwa maana silali nae. Kama kuna dawa yoyote nisaidie mkuuulishawahi kumpa dawa yoyote ?? na wakati akifanya hivyo hutoa dalili yoyote mfano kutingisha mguu au mkono n.k na anarudi kukujoa mf labd mpk mara 3
Mimi nilishawahi kukojoa kitandani mpaka nafika miaka 15 lkn baadae nikagundua kabla ya kulala nikae masaa 2 kwanza bila kunywa na kuhakikisha hakuna mkojo utakaobana. Ukweli nilifanikiwa na ile hali imeisha na mpaka sasa nakunywa maji ht dk 5 kabla ya kulala na sijikojolei.HABARI WANA JF
kwa wale woote wenye kusumbulia na tatizo la kukojoa kitandani iwe mtoto au mtu mzima dawa zipo tatizo hilo mungu akipenda huondoka ndani ya siku 3 tu pm
Mimi nilishawahi kukojoa kitandani mpaka nafika miaka 15 lkn baadae nikagundua kabla ya kulala nikae masaa 2 kwanza bila kunywa na kuhakikisha hakuna mkojo utakaobana. Ukweli nilifanikiwa na ile hali imeisha na mpaka sasa nakunywa maji ht dk 5 kabla ya kulala na sijikojolei.HABARI WANA JF
kwa wale woote wenye kusumbulia na tatizo la kukojoa kitandani iwe mtoto au mtu mzima dawa zipo tatizo hilo mungu akipenda huondoka ndani ya siku 3 tu pm
Mimi nilishawahi kukojoa kitandani mpaka nafika miaka 15 lkn baadae nikagundua kabla ya kulala nikae masaa 2 kwanza bila kunywa na kuhakikisha hakuna mkojo utakaobana. Ukweli nilifanikiwa na ile hali imeisha na mpaka sasa nakunywa maji ht dk 5 kabla ya kulala na sijikojolei.HABARI WANA JF
kwa wale woote wenye kusumbulia na tatizo la kukojoa kitandani iwe mtoto au mtu mzima dawa zipo tatizo hilo mungu akipenda huondoka ndani ya siku 3 tu pm
Dawa ya kuzuia kukujoa ni hii hapa,mahitaji muhimHABARI WANA JF
kwa wale woote wenye kusumbulia na tatizo la kukojoa kitandani iwe mtoto au mtu mzima dawa zipo tatizo hilo mungu akipenda huondoka ndani ya siku 3 tu pm