Tiba/Dawa kwa mtoto au mtu kikojozi

Tiba/Dawa kwa mtoto au mtu kikojozi

Nina shukuru sana Sky Eclat. Ila nina omba kuuliza huwa wanapima wapi ADH ??.
Antidiuretic hormone, also called arginine vasopressin (AVP), is a hormoneproduced by the hypothalamus in the brain and stored in the posterior pituitary gland at the base of the brain. ADH helps regulate water balance in the body.

Nilisahau mkuu
MACHALE, ikiwezekana upime damu waangalie kiwango cha ADH hormone kwenye mwili wako, wanaweza kukupa dawa za kuregulate kama mwili unazalisha nyingi zaidi. Kahawa pia ni antidiuretic, angalia unyaji wako wa kahawa.
 
mdogo wangu hebu kapimwe Ufanyaji kazi wa Figo na Antidiuretic hormone level.
Pia weka alarm ya kukuamsha kila baada ya saa 1 ili ukakojoe.kama saa1 ni kubwa basi punguza interval iwe hata dakika 40.
Pia usiache kuongea na tabibu mkuu ....Mungu yeye huwa hashindwi na jambo.
 
Ndugu zangu wana JF habari za jioni?

Hakika 'mficha maradhi kifo humuumbuwa' na kamwe mimi nisingependa kifo kiniumbue. Nibora hata mimi nijiumbuwe kuliko kifo kije kuniumbua.

Naam wana jamvi wenzangu naombeni , niwaeleze tatizo langu bila ya woga kwani nina taka kupona.

Wana JF ukweli mimi ni "Kikojozi" kwa hakika mimi hukojoa kitandani tangu nilipozaliwa.

Napia mwili wangu nikama kiwanda cha kuzalisha maji (mkojo) kwani nikinywa maji Lita1 basi mimi hukojoa lita2 au na zaidi. Na siyo usiku tuu bali hata mchana.

Mfano:
Leo asubuhi saa 12:00 nilikunywa maji lt1 lakini paka saa 1:00 nilikuwa nimekojoa mkojo Lt 2. Na hii ni kila siku hata nikinywa soda 1 ya ml350 basi nitakojoa mkojo zaidi ya nusu lt1.

Yaani mimi hutoa ujazo wa mkojo Mara 2 zaidi ya vimiminika nilivyo vitumia.

Huwa nina kojoa kitandani, hata kama kutwa nzima sijatumia kimiminika chochote kile. Mfano; juzi nilikunywa maji saa 11:00 asubuhi, na baada ya hapo sikutumia kimiminika chochote kile, na nililala saa 8:00 usiku ila bado nilikinukisha balaa.

Huwa nina kojoa zaidi nikiwa nimelala kuliko nikiwa macho.

Mfano; Mimi huchelewa kulala mpaka muda mwingine hulala saa9:00 usiku na katika muda wote nikiwa sijalala na nikiwa sijatumia vimiminika naweza kukojoa mara moja (1) tu. Lakini nikilala nitakojoa mara nyingi sana.

Nikinywa maji au kimiminika chochote ndani ya nusu saa hujikuta nishakitoa chote yaani ni kama kinapitiliza moja kwa moja.

Naombeni msaada wenu wa kiushauri nifanyeni nini? Nimejaribu dawa nyingi sana.
Mkuu.@MACHALE kwa kuwa hukuficha umesema wazi mimi nitaweza kukusaidia kukutibu hayo maradhi yako ya kukojowa kitandani ila kwanza fuata Ushauri wa Mkuu.@Sky Eclat ikiwa ushauri wake haukusaidia fuata ushauri wangu huenda ukakusaidia fanya hivi chukua ndevu za mahindi za kutosha chemsha ndani ya maji ya lita mbili uchuje na unywe glasi mbili kila siku asubuhi na jioni kwa muda wa siku 21.Usipo pona nitafute mimi ili nikupe Dawa ya kukutibu maradhi yako ya kukojowa kitandani na utapona kabisa unaweza kunitafuta kwa njia 2 njia ya kwanza ni Baruwa ya pepe Email Address yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com na njia ya pili waweza kuni add kwenye What's App yako au Viber Acount kwa hii namba yangu +905344508169 tupate kuzungumza live uguwa pole.


ndevu za mahindi.jpg
 
Nina shukuru sana Sky Eclat. Ila nina omba kuuliza huwa wanapima wapi ADH ??.

Urologist anaweza kukusaidia zaidi, nenda hospitali kubwa iliyokaribu na wewe, kama kuna hormone imbalance katika mwili wako utapewa dawa kuweza kuzibalance. Maji unayokunywa ni muhimu yalingane na maji unayo toa, kama unahisi unakojoa maji mengi kuliko uliyokunywa kunahatari ya kuwa dehydrated na mwili ukipungukiwa na maji hata msukumo wa moyo unapungua nguvu. BP ikiwa 78/46 kwa mfano iko chini sana. Kama umeona hilo ni tatizo ninakushauri upime BP kila mara.
 
Asante mkuu MziziMkavu nita fwaata ushauri wa ndugu Sky Eclat. Ikishindikana kama ulivyo nishauri Nita kutafuta.
Mkuu.@MACHALE kwa kuwa hukuficha umesema wazi mimi nitaweza kukusaidia kukutibu hayo maradhi yako ya kukojowa kitandani ila kwanza fuata Ushauri wa Mkuu.@Sky Eclat ikiwa ushauri wake haukusaidia fuata ushauri wangu huenda ukakusaidia fanya hivi chukua ndevu za mahindi za kutosha chemsha ndani ya maji ya lita mbili uchuje na unywe glasi mbili kila siku asubuhi na jioni kwa muda wa siku 21.Usipo pona nitafute mimi ili nikupe Dawa ya kukutibu maradhi yako ya kukojowa kitandani na utapona kabisa unaweza kunitafuta kwa njia 2 njia ya kwanza ni Baruwa ya pepe Email Address yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com na njia ya pili waweza kuni add kwenye What's App yako au Viber Acount kwa hii namba yangu +905344508169 tupate kuzungumza live uguwa pole.


View attachment 354565
 
"Mlaleo, post: 16435469, member: 5685kilala ukaota choo kipo mbele yako stuka ni mtego huo... amka upesi...[/QUOTE]

Hahaha ndugu Mlaleo ina bidi tufanye utafiti wa hali ya juu ili kugundua ninani anae tegesha hii mitego.
 
Dah akumbuka nikiwa kidato cha 5 nilipunguza ila kuna nyakat kila siku iendayo kwa Mungu lazima nijikojolee dah, unaota unakojoa chooni kabisa au kichakan kumbe kitandani afu ukimaliza TU unashtuka, duh ilibidi nikajieleze tu kwa mchungaji nikaombewa sikukojoa Tena hadi keo
 
Hahaaa mkuu ulivyo andika inaonekana ulikuwa ukisikitika sana wakati unapo amka na kujikuta katika halihiyo. Mchungaji alie kuombea duu nikiboko kweli. Ila sasa ngoja niku chokoze et kwasasa umeacha kabisa sindiyo ?? Sasa inabidi urudi nyumbani kwenu uka mnunulie mama yako magodoro yake uliyo yakata kwa mikojo. Sawa kijana.
Dah akumbuka nikiwa kidato cha 5 nilipunguza ila kuna nyakat kila siku iendayo kwa Mungu lazima nijikojolee dah, unaota unakojoa chooni kabisa au kichakan kumbe kitandani afu ukimaliza TU unashtuka, duh ilibidi nikajieleze tu kwa mchungaji nikaombewa sikukojoa Tena hadi keo
 
Hahaaa mkuu ulivyo andika inaonekana ulikuwa ukisikitika sana wakati unapo amka na kujikuta katika halihiyo. Mchungaji alie kuombea duu nikiboko kweli. Ila sasa ngoja niku chokoze et kwasasa umeacha kabisa sindiyo ?? Sasa inabidi urudi nyumbani kwenu uka mnunulie mama yako magodoro yake uliyo yakata kwa mikojo. Sawa kijana.

hahaha umenifurahisha sana, ni kweli tatizo limeisha KABISA, ngoja nichukue ushauri wako maana nakumbuka alikua anasema utaishije na wenzako huko boarding
 
Ndugu zangu wana JF habari za jioni?

Hakika 'mficha maradhi kifo humuumbuwa' na kamwe mimi nisingependa kifo kiniumbue. Nibora hata mimi nijiumbuwe kuliko kifo kije kuniumbua.

Naam wana jamvi wenzangu naombeni , niwaeleze tatizo langu bila ya woga kwani nina taka kupona.

Wana JF ukweli mimi ni "Kikojozi" kwa hakika mimi hukojoa kitandani tangu nilipozaliwa.

Napia mwili wangu nikama kiwanda cha kuzalisha maji (mkojo) kwani nikinywa maji Lita1 basi mimi hukojoa lita2 au na zaidi. Na siyo usiku tuu bali hata mchana.

Mfano:
Leo asubuhi saa 12:00 nilikunywa maji lt1 lakini paka saa 1:00 nilikuwa nimekojoa mkojo Lt 2. Na hii ni kila siku hata nikinywa soda 1 ya ml350 basi nitakojoa mkojo zaidi ya nusu lt1.

Yaani mimi hutoa ujazo wa mkojo Mara 2 zaidi ya vimiminika nilivyo vitumia.

Huwa nina kojoa kitandani, hata kama kutwa nzima sijatumia kimiminika chochote kile. Mfano; juzi nilikunywa maji saa 11:00 asubuhi, na baada ya hapo sikutumia kimiminika chochote kile, na nililala saa 8:00 usiku ila bado nilikinukisha balaa.

Huwa nina kojoa zaidi nikiwa nimelala kuliko nikiwa macho.

Mfano; Mimi huchelewa kulala mpaka muda mwingine hulala saa9:00 usiku na katika muda wote nikiwa sijalala na nikiwa sijatumia vimiminika naweza kukojoa mara moja (1) tu. Lakini nikilala nitakojoa mara nyingi sana.

Nikinywa maji au kimiminika chochote ndani ya nusu saa hujikuta nishakitoa chote yaani ni kama kinapitiliza moja kwa moja.

Naombeni msaada wenu wa kiushauri nifanyeni nini? Nimejaribu dawa nyingi sana.
Kuna namba ya simu ya msabato mmoja nikiipata nitakuunganisha nae yeye hutumia tiba za miti shamba na Mungu atabariki utapona
 
Ndugu zangu wana JF habari za jioni?

Hakika 'mficha maradhi kifo humuumbuwa' na kamwe mimi nisingependa kifo kiniumbue. Nibora hata mimi nijiumbuwe kuliko kifo kije kuniumbua.

Naam wana jamvi wenzangu naombeni , niwaeleze tatizo langu bila ya woga kwani nina taka kupona.

Wana JF ukweli mimi ni "Kikojozi" kwa hakika mimi hukojoa kitandani tangu nilipozaliwa.

Napia mwili wangu nikama kiwanda cha kuzalisha maji (mkojo) kwani nikinywa maji Lita1 basi mimi hukojoa lita2 au na zaidi. Na siyo usiku tuu bali hata mchana.

Mfano:
Leo asubuhi saa 12:00 nilikunywa maji lt1 lakini paka saa 1:00 nilikuwa nimekojoa mkojo Lt 2. Na hii ni kila siku hata nikinywa soda 1 ya ml350 basi nitakojoa mkojo zaidi ya nusu lt1.

Yaani mimi hutoa ujazo wa mkojo Mara 2 zaidi ya vimiminika nilivyo vitumia.

Huwa nina kojoa kitandani, hata kama kutwa nzima sijatumia kimiminika chochote kile. Mfano; juzi nilikunywa maji saa 11:00 asubuhi, na baada ya hapo sikutumia kimiminika chochote kile, na nililala saa 8:00 usiku ila bado nilikinukisha balaa.

Huwa nina kojoa zaidi nikiwa nimelala kuliko nikiwa macho.

Mfano; Mimi huchelewa kulala mpaka muda mwingine hulala saa9:00 usiku na katika muda wote nikiwa sijalala na nikiwa sijatumia vimiminika naweza kukojoa mara moja (1) tu. Lakini nikilala nitakojoa mara nyingi sana.

Nikinywa maji au kimiminika chochote ndani ya nusu saa hujikuta nishakitoa chote yaani ni kama kinapitiliza moja kwa moja.

Naombeni msaada wenu wa kiushauri nifanyeni nini? Nimejaribu dawa nyingi sana.
Ngoja Mshana na Mzizi Mkavu waje kukupa tiba za asili.
 
pole
Asante sana ndugu Sky Eclat kwa ushauri wako mziri. Nita jitahidi kadiri iwezekavyo kufwaata uliyo nishauri.
mku
Hahaaa mkuu ulivyo andika inaonekana ulikuwa ukisikitika sana wakati unapo amka na kujikuta katika halihiyo. Mchungaji alie kuombea duu nikiboko kweli. Ila sasa ngoja niku chokoze et kwasasa umeacha kabisa sindiyo ?? Sasa inabidi urudi nyumbani kwenu uka mnunulie mama yako magodoro yake uliyo yakata kwa mikojo. Sawa kijana.
Pole ndg... me hii hali ilinitokea nakumbuka had naingia fm3.. ukweli hali hii inakufanya unakosa amani na mm nilikua napata wakati mgumu sana kipindi cha kwenda kusalimia ndugu...
Kwa mm SHUKRANI nazipeleka kwa wamasai.. maana nakumbuka siku nilokua nime kaa maskani akapita mmasai anauza dawa ikabidi nizuge... 😀😀😀😀rafikii nna nna mdogo wangu ana miaka kama 5 bado anakojoa kitandani tuna msaidiaje aisee..😀😀😀😀 kumbe njemba lina 20yrs ila nilitumia mara moja t nikamaliza kila kitu
JARIBU KUWACHEKI
 
HABARI WANA JF

kwa wale woote wenye kusumbulia na tatizo la kukojoa kitandani iwe mtoto au mtu mzima dawa zipo tatizo hilo mungu akipenda huondoka ndani ya siku 3 tu pm
 
HABARI WANA JF

kwa wale woote wenye kusumbulia na tatizo la kukojoa kitandani iwe mtoto au mtu mzima dawa zipo tatizo hilo mungu akipenda huondoka ndani ya siku 3 tu pm
Kuna nini pm
 
Back
Top Bottom