Tatizo kubwa ni wewe ulizembea toka mtoto akiwa mdogo, mtoto anatakiwa kuamshwa kila baada ya mda flani akojoe, unaweza Anza utaratibu uo kaa na poti lake karibu na kitanda muamshe akojoe ata akiwa usingizi muweke kwenye poti mwambie kojoa atakujoa, Acha kabisa kumvalisha pampers na nepi.
Kuacha ugonjwa tatizo kubwa la mtoto kukojoa kitandani linasababishwa na wazazi wazembe na kujipendekeza usingizi
Kuacha ugonjwa tatizo kubwa la mtoto kukojoa kitandani linasababishwa na wazazi wazembe na kujipendekeza usingizi