cute datty
JF-Expert Member
- Jul 11, 2014
- 583
- 277
Wakuu habari za jioni?
Husikeni na heading hapo juu, Baba yangu alikuwa anaumwa Muda mrefu kidogo alikuwa anabanwa na pumzi na pia kukohoa . Baada ya kwenda hospitali imegundulika kuwa moyo wake umeanza kutanuka kidogo. So Kuna dawa za hospitali kaandikiwa . But kama Kuna mtu anayejua tiba mbadala ningependa zaidi atumie hizo kuliko dawa za hospitali.
Natanguliza shukrani nasubiri michango yenu
Husikeni na heading hapo juu, Baba yangu alikuwa anaumwa Muda mrefu kidogo alikuwa anabanwa na pumzi na pia kukohoa . Baada ya kwenda hospitali imegundulika kuwa moyo wake umeanza kutanuka kidogo. So Kuna dawa za hospitali kaandikiwa . But kama Kuna mtu anayejua tiba mbadala ningependa zaidi atumie hizo kuliko dawa za hospitali.
Natanguliza shukrani nasubiri michango yenu