Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
tiba ya dengue
homa ya dengue iko malaysia, thailand, phillipines kwa miaka mingi. Imethibitishwa kwamba wao
wanatibu na kuzuia kwa kutumia papai ambapo wanatafuna na mbegu zake au majani yake.
chukua majani ya papai matano, twanga, au ponda, na endapo una blenda itumie ili uweze kupata
rojo la kijani. Kisha kamua na weka asali. Tumia vijiko 3 vya chakula kwa siku.
Kwa utumiaji huu utajiwekea kinga na hautaugua homa hii. Share habari hii ili wengine wapate
kuelewa.
Pia unaweza kuangalia kwenye internet google kwa kuandika dengue fever malysia.
Asali weka vijiko 3 tu.samahani mzizi mkavu,je asali unaweka kiasi gani? Hapo hujasema ni kijiko au kiasi gani maana ni muhimu tujue kipimo cha asali je ni kijiko cha kula au cha chai?
Dawa unatumia kwa muda wa siku 3 kutwa mara 3 asubuhi mchana na usiku kabla ya kula kitu fanya hivyo kisha uende kupima hiyo Homa yako ya Dengue utakuta umeğpona inshaallah. Unaweza kunitembelea blog yangu utapata mambo mengi yenye faida bonyeza hapa http://mzizi-mkavu.blogspot.com.trMkuu Dr Mziz mkavu shukrani.
Kumradhi. Vijiko vitatu unatakiwa utumie kwa siku ngapi?
Dawa unatumia kwa muda wa siku 3 kutwa mara 3 asubuhi mchana na usiku kabla ya kula kitu fanya hivyo kisha uende kupima hiyo Homa yako ya Dengue utakuta umeğpona inshaallah. Unaweza kunitembelea blog yangu utapata mambo mengi yenye faida bonyeza hapa http://mzizi-mkavu.blogspot.com.tr
Kwa mtoto mdogo anatumia kijiko kidogo cha chai kutwa mara 3 kwa muda wa siku3. Wewe umewahi kusikia wapi kuwa Majani ya mpapai na Asali na maji kidogo kuwa ni Sumu? unao ushahidi wowote ule leta hapa kwenye Forums yetu hii?Dozi ni hyoyo hyo ata Kwa watoto?my son ana 1 year and a half.help plizz am worried. and hiz tetesi kuwa inaua ini ..zmekaaje?
Kwa mtoto mdogo anatumia kijiko kidogo cha chai kutwa mara 3 kwa muda wa siku3. Wewe umewahi kusikia wapi kuwa Majani ya mpapai na Asali na maji kidogo kuwa ni Sumu? unao ushahidi wowote ule leta hapa kwenye Forums yetu hii?