Tiba sahihi kwa upungufu wa kinga mwilini

Mmanu

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2015
Posts
1,775
Reaction score
1,011
Wanajf habarini za mda huu

Naomba kujuzwa ni tiba ipi sahihi kwa mtu aliyepungukiwa na kinga za mwili.
 
Wanajf habarini za mda huu

Naomba kujuzwa ni tiba ipi sahihi kwa mtu aliyepungukiwa na kinga za mwili.

Ale vyakula vya kuboost kinga ya mwili

Atibu chanzo cha upungufu wa kinga
 
Mazoezi kwa wingi,kunywa maji mengi daily,maintain mind stability,kula sana mboga za majani,matunda,nafaka zisizokobolewa,mizizi(viazi na mihogo mibichi),karanga mbichi,korosho,samaki,maziwa,asali,other sea foods e.t.c......Kwepa kabisa kula chips,ugali sembe,wali,pilau na nyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…