kussy
JF-Expert Member
- Jun 15, 2010
- 406
- 124
aisee pole sana, mpeleke tu hospitali kwa specialist wa watoto, atapewa dawa zitamsaidia kwa hali hiyo, akishapona uendelee na za mitishamba, nami wanangu wana tatizo hilo ni wa miaka 1 na 3, ntasubiria feedback toka kwako kuhusu dawa za kina Mzizimkavu