madactory wengi hutoa sababu ya ugonjwa kwa kukisia.mi mwanangu akiwa na miaka 3 alikua anakohoa sana.nikaenda kwa mtaalamu wa kifua akasema ni pumu inamsumbua.aliniandikia dawa mfuko wa rambo ulijaa.nilipofika home nikazisoma moja baada ya nyingine then nikazitundika.nikaenda dukani nikatafuta dawa ya kikohozi ya maji yenye mchanganyiko wa kupunguza mziho (benylin ya watoto).baada ya siku tatu akapona kabisa.baadae nikagundua mtoto anakunywa sana maji ya baridi,then nikapiga marufuku.kuhusu nimonia,kuna dawa inaitwa augment ya uk ni nzuri sana au clavam
aisee pole sana, mpeleke tu hospitali kwa specialist wa watoto, atapewa dawa zitamsaidia kwa hali hiyo, akishapona uendelee na za mitishamba, nami wanangu wana tatizo hilo ni wa miaka 1 na 3, ntasubiria feedback toka kwako kuhusu dawa za kina Mzizimkavu
Mi mwanangu amekohoa sana kuanzia miaka mitatu mpaka sita, sasa anaelekea miaka saba naona amepata nafuu, kamuone dr nsomokela pale amen opposite na palestina sinza anaweza kukusaidia, no.0754282332, na pia hiyo dawa ya benlin ya watoto ilimsaidia, hivyo vitunguu, asali nilitumia sana lakini haikusaidia, halafu kuhusu baridi mvalishe sweta lakini usimrundike manguo mengi akitokwa na jasho, ule unyevu unasababisha nimonioa