mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 478
Wana jamii forum leo nimekutana na mgonjwa mwenye kisukari ambaye alipata dawa ya mchungaji wa loliondo na hali yake ilikuwa mbaya sukari ilikuwa juu sana na ilibidi nimshauri aanze insuli ambayo alikuwa nayo hata alipoanza safari kwenda kwa babu,Kwa mtazamo wangu eweni makini njia za mkato zina mjuto baadae