manyoda
Member
- Dec 16, 2010
- 64
- 23
dah, kwa kweli habari ya Loliondo ni kama kizungumkuti! Tusubiri watu wa NIMR wanaofanya study watupe majibu! Nina jamaa yangu daktari ambaye anahudumia wagonjwa wawili critical ambao walipita kwa babu na kupata kikombe. Ni wagonjwa na kisukari, pressure na mwengine anaishi na Virusi vya ukimwi na kisukari. HAWAJAPONA despite ya kupata kikombe!
Kuhusu suala la malaria kutibiwa na baadhi ya dawa kuwa hazitibu,kisayansi inajulikana kama drug resistance, na inatokea kwa dawa ambazo zimekuwa zikitumika kwa muda mrefu na jamii fulani, je vp kuhusu hii mpya ya babu!
Tuache ushabiki when it comes to reality na maisha ya watu!
Kuhusu suala la malaria kutibiwa na baadhi ya dawa kuwa hazitibu,kisayansi inajulikana kama drug resistance, na inatokea kwa dawa ambazo zimekuwa zikitumika kwa muda mrefu na jamii fulani, je vp kuhusu hii mpya ya babu!
Tuache ushabiki when it comes to reality na maisha ya watu!