mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 478
Wana jamii forum leo nimekutana na mgonjwa mwenye kisukari ambaye alipata dawa ya mchungaji wa loliondo na hali yake ilikuwa mbaya sukari ilikuwa juu sana na ilibidi nimshauri aanze insuli ambayo alikuwa nayo hata alipoanza safari kwenda kwa babu,Kwa mtazamo wangu eweni makini njia za mkato zina mjuto baadae
Wana jamii forum leo nimekutana na mgonjwa mwenye kisukari ambaye alipata dawa ya mchungaji wa loliondo na hali yake ilikuwa mbaya sukari ilikuwa juu sana na ilibidi nimshauri aanze insuli ambayo alikuwa nayo hata alipoanza safari kwenda kwa babu,Kwa mtazamo wangu eweni makini njia za mkato zina mjuto baadae
Huyo lazima alichakachua, maana yake, 1 hakuwa na imani alienda kujaribu tu,2 alipita watu wengine kwenye foleni.
Wana jamii forum leo nimekutana na mgonjwa mwenye kisukari ambaye alipata dawa ya mchungaji wa loliondo na hali yake ilikuwa mbaya sukari ilikuwa juu sana na ilibidi nimshauri aanze insuli ambayo alikuwa nayo hata alipoanza safari kwenda kwa babu,Kwa mtazamo wangu eweni makini njia za mkato zina mjuto baadae
Wana jamii forum leo nimekutana na mgonjwa mwenye kisukari ambaye alipata dawa ya mchungaji wa loliondo na hali yake ilikuwa mbaya sukari ilikuwa juu sana na ilibidi nimshauri aanze insuli ambayo alikuwa nayo hata alipoanza safari kwenda kwa babu,Kwa mtazamo wangu eweni makini njia za mkato zina mjuto baadae
Mie Kama mwanasayansi. "tiba" ya babu Kama mnavyoiita ni uzushi mtupu. Hakuna hata mtu mmoja aliyekuwa Anaumwa kweli amepona. Namsupport aliyeanzisha thread, Kama kweli unaumwa na umeacha dawa utakuja kujuta!
Nyie mnaokuja na hoja zenu za Imani Mna matatizo ya kisaikolojia Kama babu yenu wa loliondo -sorry kuwapa ukweli wenu.
Bilious mtu anachangia hapa nadhani ameelimika (kidogo) lakini ukweli ni kwamba hamjaelimika na bado mnaishi Kama babu zetu miaka ya 1900s inasikitisha sana na Ndio maana Tanzania hatutaendele kamwe! Ndio maana na viongozi wenu wanashabiki mambo ya loliondo. Sijui mkoje???!