Wadau kuna bibi mmoja yuko Kasulu anatibu magonjwa hayo. Anatibu aina zote za Kansa kwa miti shamba tens gharama nafuu; malipo ni baada ya kupona. Kwa maelezo zaidi ni-pm. IT IS TRUE.
yeye anasema Kansa ya stage yoyote anatibu, kama kuna kidonda, kuna dawa ya kupakaa. Nimeshuhudia watu watano wakienda kumshukuru kwa tiba waliyoipata. Hana malipo , malipo kamili ni baada ya kupona.
NYACHA mwenyewe mara ya mwisho hapa ni September 2017 na bandiko la mwaka 2015. Angetupatia hapa contact ndiyo ingekuwa ni busara kama kweli anadhamiria kusaidia jamii. Ukweli haya magonjwa yanatesa sana.