hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,544
Naomba kujua tiba ya kansa ya kitaalamu au tiba mbadala tafadhalini.
Huyu ndugu yangu ana kansa ya anal na bladder, tumeshaonana na madaktari wanasema inabidi apasuliwa ili kupambana na shida hii.
Naomba kujua tiba ya kansa ya kitaalamu au tiba mbadala tafadhalini.
Mpendwa kuna kimbilio la rahisi hapa. Tafuteni bitrut zile nyekundu kuna picha yake nimeiona hapo juu. Ukichukua bitruti moja, karoti moja, na apple moja. Apples zinapatikana kwenye supermarkets. Karoti ziko kila mahali. Tafuteni kisagia au juice maker. Safisheni sana hiyo bits kaarot na aple bila kumenya. Mkiamka asubuhi msagieni mchanganyiko huu kwa pamoja na ale tu wakati ameamka kabla hajala chakula kingine au hata kusukutua mdomo. Akae lisaa limoja ndipo asukutue na kula chakula cha asubuhi. Hii ni dawa asilia tosha na inaweza kuokoa maisha yake. Fanyeni hivyo kila siku kwa muda halafu akapime. Asiache kula dawa kwani hiki ni chakula kama chakula kingine. Mungu awasaidie mpate kumtunza na kumsaidia hadi apone. Mpeni pole mgonjwa na atapona tu nina imani kwa Mungu mkitumia hii dawa asilia atapona.
Pole sana Mkuu nione mimi nipate kumtibia kaka yako apate kupona hapo hospitali hakuna tiba yoyote atakayo weza kupona.Ukihitaji tiba toka kwanguNdugu, wanaJF naomba kwa wale wenye uelewa wa tiba ya saratani ya damu, maana kaka yangu amepima amebainika kuwa nayo, na amelazwa hoptali ya rufaa ya Bugando.
Chanzo chako inawezekana ni kutoka mgodi wa North Mara, maana alifanya kazi eneo la plant kwa muda wa mwaka mmoja, ameandikiwa dawa aina ya chlorambucil tabs 50mg po oD 3/52.
Tumejitahidi kutafuta kwa Mwanza bila mafanikio, naomba msaada wenu wa mawazo hata tiba kama ikipatikana.
Nahitaji msaada wa sheria pia .
Nawasilisha.
SARATANI YA DAMU (LEUKEMIA)
Tunauza dawa za kansa /saratani za aina zote kwa mfano kansa /saratani zifuatazo:-
Kansa ya Ngozi, Kansa ya mapafu (Lungs Cancer), Kansa ya utumbo (Colon Cancer), Leukemia (kansa ya damu), kansa ya mifupa (Bone Cancer), kansa ya matiti (breast cancer), Kansa ya tezi dume (Prostate cancer), kansa za kizazi kama ovarian cancer,kansa ya kibofu, Uterine Cancer. etc.
Dawa ya kansa / Saratani ni B-17 kama inavyoonekana kwenye Picha, na dawa hiyo matumizi yake ni kama ifuatavyo:-
1. utapewa B-17 kopo mbili
2. Utapewa pia na Zinc Mineral supplement kopo 1. (Special sio zile wanazotumia hospitalini hizi za tiba mbadala)
3. ila utaongezea wewe vitamin mbili tu utaelekezwa,
Pia utapewa menu (Nutrition / diet)
1. itakuelekeza vyakula gani usitumie na sababu zake kwa nini usitumie na muda wa kutovitumia mpaka utakapopona., inamaanisha baada ya kupona unaweza kuvitumia tena.
2. Vyakula ambavyo ni muhimu kutumia wakati unatumia dawa / kipindi chote utakachotumia dawa.
>>>
Dawa ya B-17
inaongeza appetite ya kula, ina regulate blood pressure, pia unapunguza cell za kansa na kuziondoa kabisa.
Contact hii ili kuzipata: +447456171773 au+255787291773