DATABASEE
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 588
- 585
Wapendwa polen na majukumu,
Naomba msaada wa kitabibu zaidi lakini pia uzoefu wenu katika hili.
Nina dada yangu miaka mitatu iliyopita alijifungua kwa operation (kwa kisu), maelekezo ya dactari ni kwamba NYONGA ilikua ndogo, umri wake ni 30.
Swali langu ni kwamba;
1.Je kuna uwezekano wa yeye kujifungua kawaida kama atapata ujauzito?
2.Je nini tiba sahihi ya kuongeza nyonga?
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
AHSANTENI
Naomba msaada wa kitabibu zaidi lakini pia uzoefu wenu katika hili.
Nina dada yangu miaka mitatu iliyopita alijifungua kwa operation (kwa kisu), maelekezo ya dactari ni kwamba NYONGA ilikua ndogo, umri wake ni 30.
Swali langu ni kwamba;
1.Je kuna uwezekano wa yeye kujifungua kawaida kama atapata ujauzito?
2.Je nini tiba sahihi ya kuongeza nyonga?
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
AHSANTENI