habar,kwa muda mrefu sasa ninakumbwa na tatzo kubwa sana hususa la kukohoa zen kwa baaday naishia kubanja ovyo ovyo hii imekua haibu kwang na naomba ushaur wenu kuhusu tiba yake
Mm pia nina mda sasa kama miez kadhaa sikohoi bali nakua nasikia makozi kwenye koo then najikohoresha natema kohoz daaah hadi nakosa aman ngoja nijaribu dawa hiii