Elly ceejr
Member
- Dec 24, 2016
- 51
- 17
Habar za jion wapendwa
Niend moja kwa moja kwenye maada kama kichwa kinavyojieleza mim ni binti wa miaka 20 nimepatwa na ili tatizo la kuumwa kiuno awali nilipima nakugundulika kuwa nina PID nikapewa dawa ambazo nimekunywa week 3 lakin kiuno kinaniuma mno , nimekuja apa niombe msaada nifanyaje ili aya maumivu yapone au nitumie dawa gani?
Niend moja kwa moja kwenye maada kama kichwa kinavyojieleza mim ni binti wa miaka 20 nimepatwa na ili tatizo la kuumwa kiuno awali nilipima nakugundulika kuwa nina PID nikapewa dawa ambazo nimekunywa week 3 lakin kiuno kinaniuma mno , nimekuja apa niombe msaada nifanyaje ili aya maumivu yapone au nitumie dawa gani?