OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
- Thread starter
- #21
Ngoja nikupe mfanoSamahani yatazuia vipi?? Ukiniambia yatachelewesha nitakuelewa lakini siyo kuzuia.
Ukinywa antibiotics dawa kama vile ampiclox kisha ukanywa maziwa hizo dawa hazitaingia ktk mzunguko wa damu sababu maziwa ni organic solvent ita coat drug molecules zote absorption haitafanyika
Ila ukinywa maziwa na dawa mseto absorption itafanyika kwa haraka sababu mseto na maziwa vyote ni organic
Yaani ni sawa na konyaginna nyama ya mafuta
Chai na nyama ya mafuta
Uyeyushaji utakuaje?
Halafu mkuu haya maelezo sio sehu ya uzi ntaishiabhapa
Ahsante