Tiba za asili: Manufaa ya asali na mdalasini

Tiba za asili: Manufaa ya asali na mdalasini

Habari kaka, naona Habbat Sawda na Mdalasini vyote kama vinaenda sawa na Asali, kwako kipi ni the best unachorecommend? Kwa upande wangu napenda sana mchanganyiko kama ni Unga tu nichanganye na Asali nilambe au kula basi, ikishakuwa kuchemsha sijui kupasha moto napataga shida. Nina tabia ya Kula kijiko cha asali kila nikiamka na nikitaka kulala, nimejikuta tu napendelea kufanya ivyo bila kujua nnachokitibu haswa! Now nataka add btn Mdalasini na Habbat Sawda Natanguliza Shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko vzr mnoo
 
Tatizo la uvimbe kwenye kizazi kwa akinamama zaidi ya miaka 45. Naomba msaada ndugu zangu, pia Kama kunayeyote mwenye ushuhuda kwamba mama yeyote mwenye umri Kama huo na tatizo Kama hilo ambaye alishapona kwa kutumia dawa za asili tu atupe msaada.

Maarifa ndio suluhu ya matatizo tusiyoyajua. Natanguliza shukrani.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Habari Mkuu Maxence Melo na wadau wote mulikwisha kuchangia hii mada. Hii mada ni ya zaidi ya miaka Tisa (9) LAKINI bado ipo "Relevant" hadi leo. Nina maswali mawili
  1. Nimesikia baadhi ya watu wakishauri unywaji wa maji yenye Mchanganyiko wa Limao + Asali kila asubuhi kwa afya. Kuna faida zozote au athari za kutumia huo mchanganyiko kila asubuhi?
  2. Nimesikia mara nyingi tukisisitizwa kunywa maji alau Litre mbili kwa siku ILA wiki jana nimemsikia kwenye radio Daktari akisisiza kwamba sio kila aina ya maji yana faida mwili bali yenye PH zaidi ya 7 maana yake "Alkaline water". Je kuna ukweli kwenye hili? Je kwenye aina za maji yanayouzwa hapa Tanzania tuna ambayo yana PH zaidi ya 7?
Ahsante
 
Habari Mkuu Maxence Melo na wadau wote mulikwisha kuchangia hii mada. Hii mada ni ya zaidi ya miaka Tisa (9) LAKINI bado ipo "Relevant" hadi leo. Nina maswali mawili
  1. Nimesikia baadhi ya watu wakishauri unywaji wa maji yenye Mchanganyiko wa Limao + Asali kila asubuhi kwa afya. Kuna faida zozote au athari za kutumia huo mchanganyiko kila asubuhi?
  2. Nimesikia mara nyingi tukisisitizwa kunywa maji alau Litre mbili kwa siku ILA wiki jana nimemsikia kwenye radio Daktari akisisiza kwamba sio kila aina ya maji yana faida mwili bali yenye PH zaidi ya 7 maana yake "Alkaline water". Je kuna ukweli kwenye hili? Je kwenye aina za maji yanayouzwa hapa Tanzania tuna ambayo yana PH zaidi ya 7?
Ahsante
1. Hiyo namba moja ni sahihi kabisa isipokuwa kwa wenye mzio na wenye vidonda vya tumbo pia.. Ni tiba bora sana kwa lehemu kwenye mishipa na mafuta yaliyozidi mwilini

2. Kwa maji yetu haya ya viwandani ni vyema kupata maji yenye PH 7+
 
Mtoto wa jicho cataract ni janga la nchi Sasa hivi, je kuna Tiba yake bila kufanya upasuwaji Mdogo?
 
habari wakuu
kupitia uzi huunaomba msaada wenu.. tatizo la macho linakua sugu kwangu..
tangu mwaka 2013 nimekua nikitumia miwani ya macho, nilianza na lens ya -0.75, tatizo limekua likiongezeka kila mwaka..
jana animeenda kupima nimekuta limeongezeka hadi kufikia -7.5
massada tafadhari anayejua tiba ya tatizo hili
 
habari wakuu
kupitia uzi huunaomba msaada wenu.. tatizo la macho linakua sugu kwangu..
tangu mwaka 2013 nimekua nikitumia miwani ya macho, nilianza na lens ya -0.75, tatizo limekua likiongezeka kila mwaka..
jana animeenda kupima nimekuta limeongezeka hadi kufikia -7.5
massada tafadhari anayejua tiba ya tatizo hili
Mkuu jitahidi sana sana uwe unakula karoti mbichi. Yaani uwe unatafuna karoti mara kwa mara
 
Salaam.

Nasikitika kuona vijana wanapotea kwa kutumia 'busta' kama zinavoitwa ili kuridhisha jinsia ile ingine. Ukweli ni kwamba hayo madude ni sumu mbaya sana kwa afya. Kuanzia zile zinauzwa hospitali mbaka hizi za kienyeji, ni hatari mnoo.

Tena vijana hizo dawa ni mpaka uwe umeandikiwa na mtaalamu. Na wengi ni wazee umri umeenda ndo wanapewa hizi. Lakini sheria kwenye zipu, madhara yake ndo hivo mtu hata 30 hujafikisha unakata moto kisa kutaka kumfurahisha ndala ndefu asie na mpango na wewe.

Nishauri tutumie kitunguu swaumu mara kwa mara kinasaidia sana. Sina utaalamu sana lakini najua na nina uthibitisho kwamba hii ndio dawa yenyewe kwa nyie wazee wa kubusti kwanza.

Nimegusia tu kidogo lakini unaweza jaribu kwa kuanza hata kutumia punje mbili au tatu kwa siku. Hii nzuri utumie wiki kabla hujakutana na mama chanja kwenye mambo yenu. Tuwe wazalendo wa afya zetu, bado tunahitajika na hili taifa vijana wa hovyoo.

Muandishi kapaniki, nawasilisha.
 
Tunachotaka ni kupiga magoli zaidi ya moja, inachukua dakika ngapi mashine isimame tena baada ya goli la kwanza? Wanawake wenyewe wanataka uende nao muda mrefu hadi waseme basi imetosha, hawataki muda mfupi
 
Tunachotaka ni kupiga magoli zaidi ya moja, inachukua dakika ngapi mashine isimame tena baada ya goli la kwanza? Wanawake wenyewe wanataka uende nao muda mrefu hadi waseme basi imetosha, hawataki muda mfupi

kwa kweli ni mtihani mkubwa hawa wanawake wa sasa
 
Back
Top Bottom