tibu nguvu za kiume kwa mazoezi maalum

Yani kama ningeweza kukupa like zaid ya moja ningefanya hivyo. Watu madaktari na taaluma zao wanatoa ushauri na tiba mbadala bure, yeye anataka kufanya biashara hapa.:banghead:

Basi ngoja nikupe like mimi mkuu...kuna watu wanataka kumess na mood za watu humu
 
Ana muda mrefu simu haijaita tena mbele za watu sasa leo anataka iite ite aonekane mtu wa madili kumbe zero tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…