jingalao JF-Expert Member Joined Oct 12, 2011 Posts 36,197 Reaction score 29,717 Sep 16, 2018 #61 Aliyekudanganya kuwa nchi itaendelezwa na wawekezaji ni zwazwa
Kilongawima Member Joined May 23, 2018 Posts 61 Reaction score 28 Sep 16, 2018 #62 Tetesi ubakia kuwa tetesi tu sio habari.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Sep 16, 2018 #63 Inawezekana ikawa sera za uwekezaji siyo rafiki... Au watu walizoea kuingia mikataba ya hovyo hovyo sasa mambo yamekua tight wanajifanya kuchungulia na kupita... Cc: mahondaw
Inawezekana ikawa sera za uwekezaji siyo rafiki... Au watu walizoea kuingia mikataba ya hovyo hovyo sasa mambo yamekua tight wanajifanya kuchungulia na kupita... Cc: mahondaw