TIC, TAN-TRADE, EPZA, TTB & BRELA: Mrundikano wa Taasisi zinazofanya kazi zinazofanana

Nchi hii ya ajabu mno taasisi kibao ufanisi kibao!! ulishaahi kujiuliza tofauti ya TACAIDS (Tanzania Commission for AIDS na NACP (National AIDS Control Programme)?. Kaz zile zile ila taasis 2. yote nn ukiuliza? ULAJI.
sasa wewe no kilaza wa mwisho. nani kakuambia NACP nayo ni taaisisi?? hiyo ni programu kama ilivyo Malaria Control Programme. TACAIDS ndo taaisisi inayohusika na masuala ya Ukimwi.
 
Yale yale ya NIDA, PASSPORT, KITAMBULISHO CHA MPIGA KURA na DRIVING LICENCE
 
-Rasmi kibaha education center imefutwa, Hospitali ya Tumbi Sasa kuwa Hospitali ya Mkoa!
- NIDA na RITA kitu kimoja!
-
 
umeandika kwa hisia sana
 
Hahaha kazi kwelikweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…