TIC, TAN-TRADE, EPZA, TTB & BRELA: Mrundikano wa Taasisi zinazofanya kazi zinazofanana

TIC, TAN-TRADE, EPZA, TTB & BRELA: Mrundikano wa Taasisi zinazofanya kazi zinazofanana

Embu watazame hawa
1. Anayetoa kitambulisho cha taifa
2. Anayetoa kitambulisho cha kupigia kura
3. Anayetoa passport
4. Anayetoa driving license

Hawa si wanapewa taarifa zinazofanana..!!!
Hii inchi ina mambo ya hovyo sana..hizo taasisi zingekuwa merged iwe moja tu...kupunguza mzigo wa uendeshaji...kodi itumike kufanya mambo mengine.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna NHC wanajenga nyumba..
Nssf wanajenga nyumba
Watumishi housing wanajenga nyumba..
 
Bureaucracy..... Ili mama aitwa mama lazima mlolongo uwe mrefu sasa tukifupisha huo mlolongo ataitwa dada na halitaki hata kulisikia hilo jina

"Nani kama Mama"
 
Nimekaa nikafikiri hapa TZ tuna taasisi nyingi za Serikali kuanzia
1. Tanzania Investment Centre (TIC) vs EPZA vs BRELA,
2.Tanzania Tourist Board (TTB) Vs TANTRADE,
3. Tanzania Employment Services Agency (TaESA) vs Public Service Recruitment Secretariat

Nyingi ya hizi taasisi zinafanya kazi almost sawa na sioni logic ya kuwa nazo zote. Ningependekeza zipunguzwe katika kubana matumizi na kuongeza ufanisi. Vinginevyo kuifanya Tanzania Middle Income country by 2025 itakuwa ni ndoto.
BRELA itoe hapo
 
We will not go far leaving this situation to continue. To have a better higher learning Institutions there should be a differentiation between Degree awarding and Teaching Institution. For instance, Dar es Salaam University should be a degree awarding to all business related degrees taught by IFM, CBE, MUCoBS, IAA, TIA etc; Sokoine University should be degree awarding institution for all Agriculture related degrees taught by various Institution and Mandela University should be degree awarding for all Science & Technology degrees taught by various Institutions. By do so, the quality of University Education will be higher because (i) The Teaching Universities have to meet conditions set by degree awarding to be allowed to teach their courses and (ii) There will be double marking i.e. course works and examinations marked by teaching Institutions will independently be marked by Degree Awarding University.
Monopoly has long ago proven not to work so so well, kuwepo kwa taasis nyingi mfano vyuo inaleta ushindani wenye afya na pia mazingira ya ubunifi na benchmarking.
Tu
 
Ipelekwe wapi?
Kimbiji.

TanTrade inasajili makampuni?

TIC inasajili makampuni

EPZA inasajili makampuni?

TTB inasajili makampuni?

Ndo maana nikasema BRELA ipo moja pekee tofauti na shughuli za hayo mazimwi mengine
 
Dar es Salaam Institute of Technology, Arusha Techinical College, National Institute of Transport, Mbeya Tech (sijui sasa inaitwaje) nazo hizi zinafanya kazi inayofanana zingefanywa taasisi moja
Una ongea ushuzi Sasa na wee
Yaani unahoji dit na atc ,nit na mbeya tech zianfanya kaz ziNazo fanana HV ulisoma wapi babu [emoji1787]


Zote zinatoa Kos zilizo fanana zote Sasa uantaka wanafunzi wakajazane dit
 
Tuendeleeni kuzitaja ili waziunganishe pamoja..

1...PURA ,EWURA ,PBPA

2.TCAA na TAA iwe Taasisi moja.

3.TPA ,MSL na TASAC liwe shirika moja
 
andreakalima

Tanzania ni mwendo wa kuchuma, baadae ndo wanavutagana wenyewe kila mmoja anataka awe juuvya mwingine!

Kuna TFDA, TBS, Mkemia mkuu, pharmacist association nini sijui nao walishakuwa na mgogoro na TFDA kwa mwingiliano wa kazi. kuna mwingiliano wa kimaslahi kati ya Shirika la petrol na Eruwa hiii nayo ilitakiwa kuunganishwa na kuongeza idara badala ya sasa kuwa na mrundikano wa taasisi ambao mwisho wa siku ni mzigo tu.
MSD, maabara juu etc nao wamo.
 
Back
Top Bottom