TIC, TAN-TRADE, EPZA, TTB & BRELA: Mrundikano wa Taasisi zinazofanya kazi zinazofanana

TIC, TAN-TRADE, EPZA, TTB & BRELA: Mrundikano wa Taasisi zinazofanya kazi zinazofanana

University of california ambayo ni chuo kikuu kimoja ni kubwa kuliko vyuo vikuu vyote vya serikali Tanzania vikiunganishea..

Nashangaa bongo tulivunja vunja ardhi, muhimbili etc kupeana ulaji

India serikali imeunganisha vyuo vyote vya afya na kuwa chuo kikuu kimoja tu cha afya Aimss.. na vyuo vyote vya teknolojia kuwa chuo kimoja ju.. taifa kubwa ila vyuo vikuu vya uma vichache ila vya ukweli
unajua India ina vyuo vikuu vingapi? au mnadanganyana hapo kweye kijiwe cha ku-bet?
 
Nimekaa nikafikiri hapa TZ tuna taasisi nyingi za Serikali kuanzia
1. Tanzania Investment Centre (TIC) vs EPZA vs BRELA,
2.Tanzania Tourist Board (TTB) Vs TANTRADE,
3. Tanzania Employment Services Agency (TaESA) vs Public Service Recruitment Secretariat

Nyingi ya hizi taasisi zinafanya kazi almost sawa na sioni logic ya kuwa nazo zote. Ningependekeza zipunguzwe katika kubana matumizi na kuongeza ufanisi. Vinginevyo kuifanya Tanzania Middle Income country by 2025 itakuwa ni ndoto.
Unajua hizo taasisi zinaingizia serikali kiasi gani kwa mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unajua India ina vyuo vikuu vingapi? au mnadanganyana hapo kweye kijiwe cha ku-bet?

Vya serikali vingapi.. na india ina watu bilioni ngapi? Hujui idadi ya wahindi ni zaidi ya Watanzania x 20 ?

Niambie idadi ya wanafunzi wa afya india wanaosoma Aimss kisha linganisha na vyuo vyote vya afya Tanzania
 
Paundwe jopo la wataalamu wenye Elimu zao Ikiwemo watu kutoka private sector washauri twende nalo kitakwimu na maslahi ya nchi. Nataarifiwa Rwanda kusajili kampuni Ni masaa kadhaa, tofauti na nchi nyingi Afrika
 
nyingine ni Tanzania Commission for Universities (TCU), National Accreditation Council for Technical Education (NACTE) & Vocational Education & Training Authority (VETA).Wote na-deal na post-secondary education lakin wazee wakaona ngoja waunde sehemu za kutafuna posho za safar na vikao mfano VC wa Ardhi University, Member wa bodi TCU, NACTE & VETA. Tanzania Oyeeeeeee
Mpaka leo nashindwa kuelewa kwa nini hatuna authority moja ya elimu hapa nchini. Fikiria kuna doploma chini ya TCU na degree chini ya NACTE na wanatumia vigezo tofauti. Mabadiliko yatakuja tu mtu fulani akitaka sisi wengine kama hatupo vile.
 
Mpaka leo nashindwa kuelewa kwa nini hatuna authority moja ya elimu hapa nchini. Fikiria kuna doploma chini ya TCU na degree chini ya NACTE na wanatumia vigezo tofauti. Mabadiliko yatakuja tu mtu fulani akitaka sisi wengine kama hatupo vile.
Kuna vyeo, posho mafao na deals vitafutika. Usisahau V8
 
Back
Top Bottom