Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
Mwalimu Mgeni alichora moyo ubaoni hata hivyo kwa kuwa alikuwa sio mchoraji sana mchoro ulionekana ovyo alipomaliza akaanza kuwauliza wanafunzi:
MWALIMU,
Nani anajua nimechora nn ubaoni???
MWANAFUNZI 1
Akasimama na kujibu (NI MATAKO)
MWANAFUNZI 2
Hayo ni matako kabisa
MWANAFUNZI 3
Umechora tako mwalimu
Mwalimu alikasirika na kwenda kushtaki kwa mwalimu mkuu kuwa wanafunzi wanamdharau wakaongozana darasani na kuwauliza wanafunzi:-
MWALIMU MKUU
Mbona mnamdharau mwalimu???
WANAFUNZI
hakuna aliyemdharau mwalimu
MWALIMU MKUU
Kama hakuna aliyemdharau nani kachora Matako ubaoni
MWALIMU,
Nani anajua nimechora nn ubaoni???
MWANAFUNZI 1
Akasimama na kujibu (NI MATAKO)
MWANAFUNZI 2
Hayo ni matako kabisa
MWANAFUNZI 3
Umechora tako mwalimu
Mwalimu alikasirika na kwenda kushtaki kwa mwalimu mkuu kuwa wanafunzi wanamdharau wakaongozana darasani na kuwauliza wanafunzi:-
MWALIMU MKUU
Mbona mnamdharau mwalimu???
WANAFUNZI
hakuna aliyemdharau mwalimu
MWALIMU MKUU
Kama hakuna aliyemdharau nani kachora Matako ubaoni