TICTS: The inside story

TICTS: The inside story

Ukipitia mjadala huu wote na wachangiaji wake tangu 2008 basi utagundua ni kwa kiasi gani nchi yetu TANZANIA ilimuhitaji sana Rais mwenye kariba ya MAGUFULI. Bahati mbaya awamu zilizopita ziliponzwa sana na mtandao/makundi yaliyowaingiza madarakani pamoja viongozi hao kukosa uthubutu na zalendo wa dhati katika mioyo yao. Mungu kasikia kilio chetu, leo tumempata JPM mwenye uthubutu, asiye na chembe ya uoga, mwenye uzalendo ndani ya moyo wake. RAIS JPM wengi tunakuelewa kwa kazi ngumu unayoifanya, wachache wasiokuelewa leo watakuelewa kesho!!!
Kweli kabisa, uozo ni kila kona, kote alipogusa gusa ni juu juu tu maskini, ina maana nusu kazi itakamilika labda, labda narudia after 10yrs..
 
  • Thanks
Reactions: tyc
Back
Top Bottom