Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Anasema thamani yake IPO kwenye sautiMnyama anataka kurudi.
Hii dhana ya utegemezi itaisha lini Tanzania? shame!Amesema vyombo vya band yake vya awali alivinunua kwa shilingi milioni 18 lakini kwa sasa hana uwezo. Hivyo anamuomba MTU yeyote mwenye mapenzi mema ikiwemo serikali waweze kumsaidia. Amesema atatumia vyombo hivyo kupambana na vita ya utumiaji madawa ya kulevya akilenga kuielimisha jamii kupitia muziki.Source Mahojiano mubashara TBC tv
Nilicho gundua ni kwamba Tanzania na watu wake wanapenda sana kumsikia mtu hadharani akitamka kua kafulia,,,Amesema vyombo vya band yake vya awali alivinunua kwa shilingi milioni 18 lakini kwa sasa hana uwezo. Hivyo anamuomba MTU yeyote mwenye mapenzi mema ikiwemo serikali waweze kumsaidia. Amesema atatumia vyombo hivyo kupambana na vita ya utumiaji madawa ya kulevya akilenga kuielimisha jamii kupitia muziki.Source Mahojiano mubashara TBC tv
Kushindwa kununua vyombo vya band haimaanishi kwamba kafulia, hiyo ni saws na kuomba ufadhili tu ambapo hata Yanga na Simba wanafadhiliwa!Nilicho gundua ni kwamba Tanzania na watu wake wanapenda sana kumsikia mtu hadharani akitamka kua kafulia,,,
Anataka vyombo vya nini? SI atunge nyimbo Kisha akarekodi studio? Akishapata pesa za mauzo na show ndio awaze kufufua bendi. Anataka apandie kwenye mgongo WA vita ya dawa za kulevya?Amesema vyombo vya band yake vya awali alivinunua kwa shilingi milioni 18 lakini kwa sasa hana uwezo. Hivyo anamuomba MTU yeyote mwenye mapenzi mema ikiwemo serikali waweze kumsaidia. Amesema atatumia vyombo hivyo kupambana na vita ya utumiaji madawa ya kulevya akilenga kuielimisha jamii kupitia muziki.Source Mahojiano mubashara TBC tv