Mtakumbuka kuwa Siku za hivi karibuni TID alijitokeza hadharani na kuuthibitishia umma kuwa ameachana na matumizi ya dawa za kelvya na kwa sababu hiyo ilibidi apatiwe msamaha kwani ilibidi afungwe. alimuahidi Mkuu wamkoa kuwa atakuwa balozi na atawaelimisha wengine kuachana na dawa za kulevya. mbaya zaidi alipata hadi sapoti ya pesa kwa kazi hiyo.
Kuna video zinasambaa mitandaoni zikimuonyesha TID akiwa katika hali mbaya zaidi na anahitaji msaada Wa haraka vinginevyo tutampoteza. madawa ya kulevya yanazidi kumharibu.
Napendekeza akamatwe kwa udanganyifu na kuendelea kutumia madawa ya kulevya
poor youihii ni siasa?? Mods toeni haraka haya mavitu yanaudhi
Hebu acheni kumuamini sana Mange nyie.Mtakumbuka kuwa Siku za hivi karibuni TID alijitokeza hadharani na kuuthibitishia umma kuwa ameachana na matumizi ya dawa za kelvya na kwa sababu hiyo ilibidi apatiwe msamaha kwani ilibidi afungwe. alimuahidi Mkuu wamkoa kuwa atakuwa balozi na atawaelimisha wengine kuachana na dawa za kulevya. mbaya zaidi alipata hadi sapoti ya pesa kwa kazi hiyo.
Kuna video zinasambaa mitandaoni zikimuonyesha TID akiwa katika hali mbaya zaidi na anahitaji msaada Wa haraka vinginevyo tutampoteza. madawa ya kulevya yanazidi kumharibu.
Napendekeza akamatwe kwa udanganyifu na kuendelea kutumia madawa ya kulevya
tumuamini nani sasa? to a ushauriHebu acheni kumuamini sana Mange nyie.
Halaf wengi wao wanaomfata ni wadada wa mjini na wanawake wenye werevaa ....anaboa uyu Dada aje uku kupambana sio kuzngua watuHebu acheni kumuamini sana Mange nyie.
Hebu acheni kumuamini sana Mange nyie.
tupia moja ya video tuoneMtakumbuka kuwa Siku za hivi karibuni TID alijitokeza hadharani na kuuthibitishia umma kuwa ameachana na matumizi ya dawa za kelvya na kwa sababu hiyo ilibidi apatiwe msamaha kwani ilibidi afungwe. alimuahidi Mkuu wamkoa kuwa atakuwa balozi na atawaelimisha wengine kuachana na dawa za kulevya. mbaya zaidi alipata hadi sapoti ya pesa kwa kazi hiyo.
Kuna video zinasambaa mitandaoni zikimuonyesha TID akiwa katika hali mbaya zaidi na anahitaji msaada Wa haraka vinginevyo tutampoteza. madawa ya kulevya yanazidi kumharibu.
Napendekeza akamatwe kwa udanganyifu na kuendelea kutumia madawa ya kulevya
Akamatwe wakati walikuwa wanaigiza wote wawili?Mtakumbuka kuwa Siku za hivi karibuni TID alijitokeza hadharani na kuuthibitishia umma kuwa ameachana na matumizi ya dawa za kelvya na kwa sababu hiyo ilibidi apatiwe msamaha kwani ilibidi afungwe. alimuahidi Mkuu wamkoa kuwa atakuwa balozi na atawaelimisha wengine kuachana na dawa za kulevya. mbaya zaidi alipata hadi sapoti ya pesa kwa kazi hiyo.
Kuna video zinasambaa mitandaoni zikimuonyesha TID akiwa katika hali mbaya zaidi na anahitaji msaada Wa haraka vinginevyo tutampoteza. madawa ya kulevya yanazidi kumharibu.
Napendekeza akamatwe kwa udanganyifu na kuendelea kutumia madawa ya kulevya
Mimi naona wanaomfata Mange kuliko wewe unayemfata Bashite! teh teh teh tehHalaf wengi wao wanaomfata ni wadada wa mjini na wanawake wenye werevaa ....anaboa uyu Dada aje uku kupambana sio kuzngua watu
Akamatwe wakati walikuwa wanaigiza wote wawili?
Ila nimeimiss ile tamthilia.
Hebu acheni kumuamini sana Mange nyie.
hamna namnaMtakumbuka kuwa Siku za hivi karibuni TID alijitokeza hadharani na kuuthibitishia umma kuwa ameachana na matumizi ya dawa za kelvya na kwa sababu hiyo ilibidi apatiwe msamaha kwani ilibidi afungwe. alimuahidi Mkuu wamkoa kuwa atakuwa balozi na atawaelimisha wengine kuachana na dawa za kulevya. mbaya zaidi alipata hadi sapoti ya pesa kwa kazi hiyo.
Kuna video zinasambaa mitandaoni zikimuonyesha TID akiwa katika hali mbaya zaidi na anahitaji msaada Wa haraka vinginevyo tutampoteza. madawa ya kulevya yanazidi kumharibu.
Napendekeza akamatwe kwa udanganyifu na kuendelea kutumia madawa ya kulevya