Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,607
- 4,263
Yanamuudhi nani?hii ni siasa?? Mods toeni haraka haya mavitu yanaudhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanamuudhi nani?hii ni siasa?? Mods toeni haraka haya mavitu yanaudhi
SALUTE MKUU SHUSHUSHU. UMEBARIKIWA WEWE KULIKO.....................................................Hawez kuacha yule
Aje kupambana na nani?Halaf wengi wao wanaomfata ni wadada wa mjini na wanawake wenye werevaa ....anaboa uyu Dada aje uku kupambana sio kuzngua watu
Huyu mama matonya si ndio makuu wa makamanda. Unamnukuu halafu unajifanya humjui? Ha ha ha ha.Inaonekana unamwamini sana huyo mtu uliemtaja maana wengine hata hatujui kwa nini umemtaja
Kumbe mange ameposti?Kwani aliyetuma ni mange? ? Hiyo picha imeanza kuzunguka mitandaoni hata kabla mange hajapost
Tundu Lisu.tumuamini nani sasa? to a ushauri
tuache kujadili siasa za kitaifa kimaendeleo tumjadili mtu mmoja aloamua kufanya upuuzi? Wangapi wanatumia...tuwajadili mmoja mmoja humu?? Shikeni maisha yenu na familia zenu acheni kujadili watu,ni umbea Wa kijinga!! Tujadili ideas and issues...kama mimi pua wewe kamasi!!poor youi
Mbona yeye hakuna aliyemkamta kwa kuwa na vyeti feki?Mtakumbuka kuwa Siku za hivi karibuni TID alijitokeza hadharani na kuuthibitishia umma kuwa ameachana na matumizi ya dawa za kelvya na kwa sababu hiyo ilibidi apatiwe msamaha kwani ilibidi afungwe. alimuahidi Mkuu wamkoa kuwa atakuwa balozi na atawaelimisha wengine kuachana na dawa za kulevya. mbaya zaidi alipata hadi sapoti ya pesa kwa kazi hiyo.
Kuna video zinasambaa mitandaoni zikimuonyesha TID akiwa katika hali mbaya zaidi na anahitaji msaada Wa haraka vinginevyo tutampoteza. madawa ya kulevya yanazidi kumharibu.
Napendekeza akamatwe kwa udanganyifu na kuendelea kutumia madawa ya kulevya
tuache kujadili siasa za kitaifa kimaendeleo tumjadili mtu mmoja aloamua kufanya upuuzi? Wangapi wanatumia...tuwajadili mmoja mmoja humu?? Shikeni maisha yenu na familia zenu acheni kujadili watu,ni umbea Wa kijinga!! Tujadili ideas and issues...kama mimi pua wewe kamasi!!
Mkuu natambua jitihada zako katika vita dhidi ya madawa ya kulevya. Ulichokiandika hapa unakijua vizuri. Hata sisi wengine tuliona kabisa ule ulikua mkakati maalum wa kuwaumiza baadhi ya watu na wala haukua na lengo la kupambana na matumizi ya dawa za kulevya.Ule ulikuwa usanii tangia mwanzo, mkakati mahsusi wa kuwaumiza baadhi ya watu! TID is far too gone, wa kujilaumu ni rc mwenyewe kwa kumuhusisha TID not vice versa!
Hata popo ni mnyama, huwenda ndio category aliyopo huyo jamaa.Huyu Bwana TID si ndiye alisema yeye mnyama...then what do you expect from him.