TID akamatwe kwa kumdanganya mkuu wa mkoa eti kaacha madawa ya kulevya

TID akamatwe kwa kumdanganya mkuu wa mkoa eti kaacha madawa ya kulevya

Huyu Bwana TID si ndiye alisema yeye mnyama...then what do you expect from him.
 
Kwani aliyetuma ni mange? ? Hiyo picha imeanza kuzunguka mitandaoni hata kabla mange hajapost
 
Ngada sio kama ugali kusema unaweza kuacha kula muda wowote
 
poor youi
tuache kujadili siasa za kitaifa kimaendeleo tumjadili mtu mmoja aloamua kufanya upuuzi? Wangapi wanatumia...tuwajadili mmoja mmoja humu?? Shikeni maisha yenu na familia zenu acheni kujadili watu,ni umbea Wa kijinga!! Tujadili ideas and issues...kama mimi pua wewe kamasi!!
 
Mtakumbuka kuwa Siku za hivi karibuni TID alijitokeza hadharani na kuuthibitishia umma kuwa ameachana na matumizi ya dawa za kelvya na kwa sababu hiyo ilibidi apatiwe msamaha kwani ilibidi afungwe. alimuahidi Mkuu wamkoa kuwa atakuwa balozi na atawaelimisha wengine kuachana na dawa za kulevya. mbaya zaidi alipata hadi sapoti ya pesa kwa kazi hiyo.

Kuna video zinasambaa mitandaoni zikimuonyesha TID akiwa katika hali mbaya zaidi na anahitaji msaada Wa haraka vinginevyo tutampoteza. madawa ya kulevya yanazidi kumharibu.

Napendekeza akamatwe kwa udanganyifu na kuendelea kutumia madawa ya kulevya
Mbona yeye hakuna aliyemkamta kwa kuwa na vyeti feki?

What comes around goes around!
 
kuacha madawa ya kulevya syo jambo rahisi.. vijana chonde chonde.. ishieni kkwenye pombe hukohuko
 
tuache kujadili siasa za kitaifa kimaendeleo tumjadili mtu mmoja aloamua kufanya upuuzi? Wangapi wanatumia...tuwajadili mmoja mmoja humu?? Shikeni maisha yenu na familia zenu acheni kujadili watu,ni umbea Wa kijinga!! Tujadili ideas and issues...kama mimi pua wewe kamasi!!

ndio maana kuna jukwaa LA siasa. nenda hukohuko pumbavu huku unatafuta nini?
 
Ule ulikuwa usanii tangia mwanzo, mkakati mahsusi wa kuwaumiza baadhi ya watu! TID is far too gone, wa kujilaumu ni rc mwenyewe kwa kumuhusisha TID not vice versa!
Mkuu natambua jitihada zako katika vita dhidi ya madawa ya kulevya. Ulichokiandika hapa unakijua vizuri. Hata sisi wengine tuliona kabisa ule ulikua mkakati maalum wa kuwaumiza baadhi ya watu na wala haukua na lengo la kupambana na matumizi ya dawa za kulevya.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Vice versa is true.
Mkuu wa mkoa ndio alimdanganya TID aseme ameacha madawa ya kulevya.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Back
Top Bottom