Polisi jamii
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 2,604
- 1,381
BILLNAS FT NAZIZ HII NDO NGOMA ILIYOANZA MPA UMAARUFU KABLA HAJAFANYA NA TID LIGI NDOGO,TATZO TID ANA WIVU JAMAA ANAPGA HELA KUMZIDI YEYE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona mm siijuiBILLNAS FT NAZIZ HII NDO NGOMA ILIYOANZA MPA UMAARUFU KABLA HAJAFANYA NA TID LIGI NDOGO,TATZO TID ANA WIVU JAMAA ANAPGA HELA KUMZIDI YEYE
mbona mm siijuiBILLNAS FT NAZIZ HII NDO NGOMA ILIYOANZA MPA UMAARUFU KABLA HAJAFANYA NA TID LIGI NDOGO,TATZO TID ANA WIVU JAMAA ANAPGA HELA KUMZIDI YEYE
ni ngoma kali hataree we itafte uisikilizembona mm siijui
ngoma ligi ndogo bwana...
Unamjua alomkutanisha huyo bíllnas na nazizi? By the way hiyo ngoma(raha) ni billnas . ft. Nazizi&T. I. DBILLNAS FT NAZIZ HII NDO NGOMA ILIYOANZA MPA UMAARUFU KABLA HAJAFANYA NA TID LIGI NDOGO,TATZO TID ANA WIVU JAMAA ANAPGA HELA KUMZIDI YEYE
NIKUTUMIE UHUSIKIEmbona mm siijui
ngoma ligi ndogo bwana...
Zilla kacopy kwa 50Cent so hatuwez sema sana. wezi wamekutana eneo la tukio dawa ni kuvunga na unavuka upande wa pili kama hakuna kilichootokea.unique wapi bhana ile ni style km ya godzilla copy and paste....siku ya kwanza kuskia audio ya ligi ndogo nilijua ni king wa Salasala mnyamwezi zilla kumbe ni huyu chalii Bil.
Godzilla alichokosea nikumuachia billnass atembelee mitindo yake na swaga yaani kutembelea nyota ya zila to fullest. Godzilla alitakiwa akome nae kistaili mpk watu wangekuwa zila is the owner wa staili hiyo na na swaga. Ila tusimlaumu billnass yawezakuwa zila ni Rose modeli wake si ka ovyo yuko sawa na hizo copy and psteunique wapi bhana ile ni style km ya godzilla copy and paste....siku ya kwanza kuskia audio ya ligi ndogo nilijua ni king wa Salasala mnyamwezi zilla kumbe ni huyu chalii Bil.
Hii weekend, nakuelewa mzee na uo uandishi, ila ni hivi! Bill Nass alisha kiri kwamba Zilla alikua ana muandikia mistari toka wapo huko CBE ila ndo ivo kesha mfunikaGodzill
Godzilla alichokosea nikumuachia billnass atembelee mitindo yake na swaga yaani kutembelea nyota ya zila to fullest. Godzilla alitakiwa akome nae kistaili mpk watu wangekuwa zila is the owner wa staili hiyo na na swaga. Ila tusimlaumu billnass yawezakuwa zila ni Rose modeli wake si ka ovyo yuko sawa na hizo copy and pste
.zilla afanye staili zake zile zile mpo watu waelewe yeye ndo mwenye hakimiliki.dogo kweli kamfunika jamaa. Zilla marekani mwingi afanyi tena zile street rap.mfano mdogo wa zilla na b.nass ni futur na desiegner,future asingeweza kaza desiigner angemuovertake na kujimilikisha staili ya ya uchanaji.Hii weekend, nakuelewa mzee na uo uandishi, ila ni hivi! Bill Nass alisha kiri kwamba Zilla alikua ana muandikia mistari toka wapo huko CBE ila ndo ivo kesha mfunika