Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,152
- 9,206
Kipindi hiko this was my best movie sana aiseeTazama Girlfriend FULL movie hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi hiko this was my best movie sana aiseeTazama Girlfriend FULL movie hapa
T.I.D Mnyama,Mzee kigogo,Warioba,powerbank,Basata,Tiddy madawa nahisi hayuko sawa jamaa,kuna kitu kinamzingua.
Tena sema alilipwa kama Mshiriki tu manake Mshirika ina hadhi kubwa sana kibiashara!Hahaha sasa hiyo Film ni ya kwake au ya marehemu director Tyson ...aache mawenge aise ... yeye alilipwa pesa kama mshirika tu na wala siye mwenye hati miliki ... haki yake iliishia pale
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna nyimbo zake nadhani kwenye hiyo muvi labda apo ndo anaweza lipwaTena sema alilipwa kama Mshiriki tu manake Mshirika ina hadhi kubwa sana kibiashara!
HahaaaTena sema alilipwa kama Mshiriki tu manake Mshirika ina hadhi kubwa sana kibiashara!
Katika hali ya kawaida, atakuwa alishalipwa, na kama hakulipwa, hilo ni tatizo lake na Film Producer na sio Azam!kuna nyimbo zake nadhani kwenye hiyo muvi labda apo ndo anaweza lipwa
Tazama Girlfriend FULL movie hapa
hii ni filamu ya George Tyson au TID? mm nilidhani TID alikuwa mwajiriwa kama alivyokuwa Monalisa
Swali moja tu,View attachment 1029917
Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Tanzania T.I.D a.k.a TOP a.k.a Warioba A.k.A BASATA a.k.a POWER BANK leo kupitia instagram yake amwaga povu kali kiwango cha grisi kutoka kwa Azam TV baada ya kurusha filamu yake ya Girlfriend bila ya kibali maalumu.
Maneno yake yanasomeka kama ifuatavy
- tidmusic
Tangazo Tangazo.......Ni Marukufu kwa Azam TV Kuonyesha Filamu ya Girlfriend popote pale bila kunilipa Haki zangu,Sioni Sababu ya kuendelea Kuibiwa Haki Zangu,Nawadai Milioni mia (300) kwa kurusha Filamu hii bila Kunilipa wala Makubaliano ....I hate this kwanini Hamnilipi Haki Zangu!!!
Lakini ikiwa anamiliki ni kazi yake kituo kinawajibika kufuata taratibu na sheriaMuziki umegoma sasa anatengeneza madeni na kudai, kuna wakati alikuwa anawada Clouds mamilioni, sjui alifanikiwa ngapi.
Swali moja tu,
Producer wa hii filamu alikua nani?
Sasa huyu TID anaingiaje hapa?? Bwimbwi baya sana aiseeexecuttive producer ni sultan tamba
producer ni kessa mwambeleko
director ni the late george tyson
Sasa huyu TID anaingiaje hapa?? Bwimbwi baya sana aisee