Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilisikia haja kubwa gafla ...
mzee kingunge tid mnyama kweli keshapoteza...
redioni? na ilikua lazima aseme alishawahi date na wema? huwa siwaelewi waume/wanawake ambao hutangaza habari za wapenzi wao wa kale....shida ni nini? hawajawatoa moyoni?redioni ndugu nilisikia haja kubwa gafla loh nikasema ni TID ama mwingine binafsi ni kijana mtashi ukiacha mambo yake ya ujana ambayo naamini muda ukienda anabadilika lakini hili loh.....
redioni? Na ilikua lazima aseme alishawahi date na wema? Huwa siwaelewi waume/wanawake ambao hutangaza habari za wapenzi wao wa kale....shida ni nini? Hawajawatoa moyoni?
ukistaajabu ya mussa..kuna kipindi clouds tv alihojiwa kwakupigiwa simu live..akasema>>maswali ya kise,,nge..unamuuliza nani,,??ayo mambo ya kise,,nge waulize wase,,,<<< simu ikakatwa////nadhani alipigiwa wakat mbaya,,unga chapa azam ulikua umekwiva kwenye sigda yake
kuna jambo lnimeligundua kuhusu wema sepetu..... She is so special alzima ana utamu si wakawaida ndio maana wote alioachan nao bado mpaka leo wanaendelea kumuongelea hakika hata diamond bado anataman kurudiana nae!!! Simple rule ni kwamba anayemuongelea ongelea mwenzake ovyo baada ya kuachana ndio kimemuuma na ndio aliyeachwa in real sense!! Kwa iyo wote kina tid, chals baba etc wao ndio inawauma kuachana na wema!!
pale antena akuna kabisaa,,,
nilikutana nae arusha pale blue moon formally velocity club...dahh nilisema kweli kazi ipo nawasanii,,alishoboka kwa demu wangu akataka apige nae picha ,,nilitaka ku react ila sijui alikunywa nin maana alikua ananuka A VERY STRONG SPIRIT kama keroseine ivi,,nikasemaa mwee asije akanipasulia chupa bure..