TID mnyama awadisi Clouds kwa kuua Mziki/ Awahusisha na majanga kwa wasanii.

I dont think so... I think he expressed his feelings and he said what he knows! That’s it...it is called freedom of speech... just like what Kanyee did few months ago.

Fuatilia uyu TID akiwa anahojiwa utaelewa achana na hii ya leo pale Wasafi Tv ila siku hizi anaongea vitu ambavyo havipo mfn leo anakuambia hata kifo cha Sam wa Ukweli hao Clouds wamesababisha(hajawataja moja kwa moja) haiwezekani wakongwe wote wawe wamefeli kisa Ruge nadhani ulimsikia Dully baadae kuna tofauti kati yao.
 

Anhaa ... mkuu mimi nimeangalia hii ya leo tu.
 
Ruge change bro..Karma inakuja

Marekani; mfumo uko hivi simply Major Label(mfano Livenation)-Minor/Record Label then watu wanafanya marketing, Tanzania sasa ona hakuna Major Label hata moja kimsingi, hata wewe unaweza record kibandani then unaenda straight katika media, anaibuka jamaa na hela zake anakulipa kidogo anatega mitego(risk kubwa)ikitiki anapiga faida, msanii anabaki analia lia. Solution msanii atengeneze mifumo yake independent kama Ryan Leslie anavyokomaa mwenyewe marekani
 
Aha tumechoka na kulia lia kwa wasanii kuhusu mawingu mtu akichoka tu ata lalamikia mawingu mbona wakati wana shine wao tulikuwa hatusikii wasanii wengine wakilalamika tena radio zilikuwa chache tu sembuse Leo kila mkoa una radio zaidi ya mbili na kila aina ya mitandao ya kijamii .hawa jamaa wakubali tu game imekuwa tafu cozi hata wasanii na wenyewe wamekuwa wengi kila siku zinatoka nyimbo mpya.kila kitu na wakati wake,Muda ni mwalimu mzuri sana.
 
I dont think so... I think he expressed his feelings and he said what he knows! That’s it...it is called freedom of speech... just like what Kanyee did few months ago.


So, what feelings expressed by Kanye, slavery was a choice?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…