TID na KR Mullah.....

Ulivyomalizia post yako mkuu,hayaaaaa
 
ndio mwenyewe mkuu K.R jitu mwitu msitu kitambo sana interview zote hua anaimba wimbo wa wa KAMUA BABA TUU
 
ndio mwenyewe mkuu K.R jitu mwitu msitu kitambo sana interview zote hua anaimba wimbo wa wa KAMUA BABA TUU
Mwanangu kama namuona vile pale Empire Cinema nje Azikiwe pale ananisomesha enzi zile.

Duh, umenikumbusha mbali sana.
 
Atakua alitafuna bangi kwanza kupata stimu
 
Mwanangu kama namuona vile pale Empire Cinema nje Azikiwe pale ananisomesha enzi zile.

Duh, umenikumbusha mbali sana.
mkuu kweli hubahatishi/naona upo nondo ni long time sana.. pia K.R nakumbuka alishatoa albam moja tuu na aliweka nyimbo tano including intro.. album iliitwa KAMUA KWA UWEZO
 
mkuu kweli hubahatishi/naona upo nondo ni long time sana.. pia K.R nakumbuka alishatoa albam moja tuu na aliweka nyimbo tano including intro.. album iliitwa KAMUA KWA UWEZO
Hawa nimekaa nao Studio enzi zile Bonnie Luv anawarekodia "Cheza Mbali na Kasheshe".

Enzi za kina Kolumba Mwingira na O Juice.

Huku Y Thang anatema yai ukiwa humjui utasema mnyamwezi kashuka kutoka Harlem leo.

KR na yule dogo mwingine wa GWM wamepotea hapa kati, lakini kipindi kile walipata airtime sana.
 
Mkuu hivi huyo kim ni yule wa kim the boys, aliyekuwa anaanda mashindano ya kucheza muziki?
amefariki lini?
 
Atakuwa dotto huyo mzee wa yamenikuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…