TID na KR Mullah.....

TID na KR Mullah.....

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Nimeona kidogo tu kwenye tangazo la EATV....Kr Mullah ana perfom 'kamua'
yuko na TID kwenye Friday night live....

kwa kweli hawa jamaa sasa ni 'burudani tosha'
natamani kuona mwenye full clip aiweke hapa

na kama wana wimbo wowote wa pamoja nadhani utakuwa very interesting...

mwenye clip please aiweke hapa
 
Nimeona kidogo tu kwenye tangazo la EATV....Kr Mullah ana perfom 'kamua'
yuko na TID kwenye Friday night live....

kwa kweli hawa jamaa sasa ni 'burudani tosha'
natamani kuona mwenye full clip aiweke hapa

na kama wana wimbo wowote wa pamoja nadhani utakuwa very interesting...

mwenye clip please aiweke hapa
Mkuu kwenye hiyo neno " very interesting" umenikosha sana
 
Nimeona kidogo tu kwenye tangazo la EATV....Kr Mullah ana perfom 'kamua'
yuko na TID kwenye Friday night live....

kwa kweli hawa jamaa sasa ni 'burudani tosha'
natamani kuona mwenye full clip aiweke hapa

na kama wana wimbo wowote wa pamoja nadhani utakuwa very interesting...

mwenye clip please aiweke hapa
Hata mi nimeona,
KR kakamua live bila kushindwa verse yake yote kwenye wimbo wa "KAMUA", kile ni kipindi cha Friday Night Live (FNL) cha wiki/friday iliyopita. Kama wamfahamu mtu EATV jaribu kaka.
 
Nimeona kidogo tu kwenye tangazo la EATV....Kr Mullah ana perfom 'kamua'
yuko na TID kwenye Friday night live....

kwa kweli hawa jamaa sasa ni 'burudani tosha'
natamani kuona mwenye full clip aiweke hapa

na kama wana wimbo wowote wa pamoja nadhani utakuwa very interesting...

mwenye clip please aiweke hapa
ALIKAMUA VIKALI KIPINDI KILICHOPITA ILIKUA NI BURUDANI , JAMAA WALIKUJA KIHUNI NA KIRASTA HASWA HUYU KR.
 
Alafu namuona kr kawa mfupi au walimtoa vibaya
 
Nimeona kidogo tu kwenye tangazo la EATV....Kr Mullah ana perfom 'kamua'
yuko na TID kwenye Friday night live....

kwa kweli hawa jamaa sasa ni 'burudani tosha'
natamani kuona mwenye full clip aiweke hapa

na kama wana wimbo wowote wa pamoja nadhani utakuwa very interesting...

mwenye clip please aiweke hapa
yani ungeona interview yao ikuwa vituko sana huyo kr miaka yote nyimbo yake ndo hiyo aliulizwa kwanin picha zako zilionekana mitandaoni ukiwa umelala barabaran akajibu alikuwa amechoka
tid naye kama kawaida yake kuweuka yani ilikuw vituko
 
yani ungeona interview yao ikuwa vituko sana huyo kr miaka yote nyimbo yake ndo hiyo aliulizwa kwanin picha zako zilionekana mitandaoni ukiwa umelala barabaran akajibu alikuwa amechoka
tid naye kama kawaida yake kuweuka yani ilikuw vituko

dah nilikosa burudani
 
yani ungeona interview yao ikuwa vituko sana huyo kr miaka yote nyimbo yake ndo hiyo aliulizwa kwanin picha zako zilionekana mitandaoni ukiwa umelala barabaran akajibu alikuwa amechoka
tid naye kama kawaida yake kuweuka yani ilikuw vituko
HAHA jamaa walimchora sana K.R ..yeye ndio miongoni mwa waanzilishi wa HIP HOP cha ajabu ana wimbo mmoja tuu hit.. pia jamaa alinichekesha alivyokua anamtishia dulla kwa kumpiga ngumi, jamaa walijichoresha sana bora wasingekuja na T.I.D alikua kalewa mbaya
 
Alafu namuona kr kawa mfupi au walimtoa vibaya


KR ni kijeba haswa. Yaani ni kimbilikimo, labda ni midget yule. Halafu nikimuangalia sura yake sijui mmakonde chale yule!! Dizaini kijamaa kinaonekana kama cha Msumbiji.
 
HAHA jamaa walimchora sana K.R ..yeye ndio miongoni mwa waanzilishi wa HIP HOP cha ajabu ana wimbo mmoja tuu hit.. pia jamaa alinichekesha alivyokua anamtishia dulla kwa kumpiga ngumi, jamaa walijichoresha sana bora wasingekuja na T.I.D alikua kalewa mbaya
Huyu ni KR yule aliyekuwa GWM?

Kama ndiye hawa ndio wanangu wa mwanzo kabisa siku zile za mashindano ya marehemu Kim Mgomelo (Yo Rap Bonanza).

Enzi za Kwanza Unit, Hard Blasters (Kabla ya Profesa Jay) na Dar Young Mob (Kabla Mr 2 hajajiondoa).

Kabla Magufuli hajafika mjini.
 
Back
Top Bottom