TID na Q-Chief wamaliza Beef lao rasmi

SHANTI

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
296
Reaction score
365
Hatimaye lile bifu lililodumu kwa miaka kadhaa baina ya mastaa wawili wa muziki waliounda Top Band , TID na Q-CHIEF llimezikwa rasmi leo ndani ya studio za CLOUDS FM.

Mastaa hao wamehaidi kuja na kasi ya ajabu ili kuwafukuza wadogo zao na kurudisha enzi zao
 
Kwa nini mabifu ya wasanii huwa yanaisha pale wanapokua tayari wameshuka kisanaa? Ref; Afande Sele
Vs
O-ten
Na weeeengi sana ambao nimewasahau.
 
Washkaji wamemaliza bifu lao la muda mrefu. Wakiongea na mtangazaji wa XXL, B- Dozen, wamesema kuwa bifu lao limewagharimu kwa kiasi kikubwa sana ikiwamo TID kupoteza soko lake la muziki.

Kwa upande wake Chilla, amesema leo amezika tofauti hizo ili kulinda maslahi makubwa ya kibiashara. Amegusia kuwa wamemaliza tofauti zao kwa sababu ya kumuenzi Mangwea. For the sake of Bongo flava, I beg others to follow this idea.

 
Wamefanya vizuri kumaliza tofauti zao, ila Diamond na Alikiba wajifunze!
 
Wala unga hao. Vigumu kuwaamini...
 
Kwa nini mabifu ya wasanii huwa yanaisha pale wanapokua tayari wameshuka kisanaa? Ref; Afande Sele
Vs
O-ten
Na weeeengi sana ambao nimewasahau.

Wanadhani wakizika bifu zao ndo itawapush kimuziki, kumbe ukipotea umepotea tu. Wengine ni Nature na Inspecta, Mr.Nice na Dudubaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…