certified mdokozi
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 1,403
- 814
yule nae alikuwa daaah ndo tulikuwa tunaviita vinu vya lundenga inshort mwana enz limelight aijazima kafaidiNa yule video queen kwenye siamini anashuka naye kwenye ndege alikuwa anafanya kazi Channel 5 (EATV ) sijui kapotelea wapi?
Kila kitu kina mda wake na ushapita.yule nae alikuwa daaah ndo tulikuwa tunaviita vinu vya lundenga inshort mwana enz limelight aijazima kafaidi
tena ilikuwa tarehe 25/6/2009Ina maana wacko Jacko alishaaga dunia? Yesu Kristu Wa Nazareti
He he he watu mnatunga majina et nini mbu....!! hii nchi ndo maana niliomba uhamisho lkn wananing'ang'ania!ngada, mbunye, sifa zinamkula
In a majina mengiHe he he watu mnatunga majina et nini mbu....!! hii nchi ndo maana niliomba uhamisho lkn wananing'ang'ania!
Hajui kucheza ila ana flair/ swagga fulani inayotakiwa, anyway, ni mtazamo wangu!Angeacha sembe kwanza,jamaa anajua mziki jamaa ni dancer pia jamaa pia alivunja kwenye girlfriend nilipenda sana hiyo filamu,kweli unga unapoteza watu
Basi kwa lugha yetu ya kiswaz itakuwa inashika no 1 kwa kuwa na majina mengimengi!!In a majina mengi
Akiacha upuuzi ma kibri anaweza mtoa Mond na kiba sokoni.Alikuwa mzuri sana ila alipogundua ana kipaji na kukubalika ndipo alipoanza kujichimbia kaburi, TID alijaa kibiri na majivuno, hivi ndivyo vilivyo mmaliza, Ganda kalianza baada ya kujua hana thamani ile tena mbele ya mashabiki, pole yake sana.. Ila anaweza kuanza upya.
Uwiioiiiiieee yeuwuiiiiiiiiiiieee auwiiiiiiiiiii, kwanini kafa mapema jaman uwiiiiiiieeetena ilikuwa tarehe 25/6/2009
Kufa ni sehemu ya maisha yeye kafa lkn kazi zake zipo RIP michael joseph jackson.Uwiioiiiiieee yeuwuiiiiiiiiiiieee auwiiiiiiiiiii, kwanini kafa mapema jaman uwiiiiiiieee
Uwiiiiiiiie yeuwiiiiiiiii auwiiiiiiiiiiii jaman uchungu mkali auwiiiiiiiiiiieeeKufa ni sehemu ya maisha yeye kafa lkn kazi zake zipo RIP michael joseph jackson.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha sana, hebu kunywa hapo whisky nakuja kulipaIna maana wacko Jacko alishaaga dunia? Yesu Kristu Wa Nazareti
Uwiiiiiiieeeee yeuwiiiiiiiiii jaman asante uwiiiiiiiieeeeee uchungu mkali[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha sana, hebu kunywa hapo whisky nakuja kulipa