TID pokea ushauri, rudi kwenye fani ya utangazaji

TID pokea ushauri, rudi kwenye fani ya utangazaji

Kwa sasa kavurugwa sana aiseee.

Ukipita mitaa ya kwao pale Kinondoni Studio wenyewe wanapaitwa "Kwao T.I.D" utamkuta kakaa na wahuni wanakula bange na unga tu huku kapaki kigali chake kwa pembeni.

Hawezi kazi yule kwa sasa, keshaharibikiwa.

Mitaa ile ni maarufu sana kwa "watoto wa watu" sijui kama na yeye kapona kwa hilo.
 
Kwa sasa kavurugwa sana aiseee.

Ukipita mitaa ya kwao pale Kinondoni Studio wenyewe wanapaitwa "Kwao T.I.D" utamkuta kakaa na wahuni wanakula bange na unga tu huku kapaki kigali chake kwa pembeni.

Hawezi kazi yule kwa sasa, keshaharibikiwa.

Mitaa ile ni maarufu sana kwa "watoto wa watu" sijui kama na yeye kapona kwa hilo.
 
Kila zama na kitabu chake. Sio mtume huyo kiasi kwamba apate attention ya watu miaka yote.
 
Angeacha sembe kwanza,jamaa anajua mziki jamaa ni dancer pia jamaa pia alivunja kwenye girlfriend nilipenda sana hiyo filamu,kweli unga unapoteza watu
 
Angeacha sembe kwanza,jamaa anajua mziki jamaa ni dancer pia jamaa pia alivunja kwenye girlfriend nilipenda sana hiyo filamu,kweli unga unapoteza watu
Hajui kucheza ila ana flair/ swagga fulani inayotakiwa, anyway, ni mtazamo wangu!
 
Alikuwa mzuri sana ila alipogundua ana kipaji na kukubalika ndipo alipoanza kujichimbia kaburi, TID alijaa kibiri na majivuno, hivi ndivyo vilivyo mmaliza, Ganda kalianza baada ya kujua hana thamani ile tena mbele ya mashabiki, pole yake sana.. Ila anaweza kuanza upya.
Akiacha upuuzi ma kibri anaweza mtoa Mond na kiba sokoni.
 
Uwiioiiiiieee yeuwuiiiiiiiiiiieee auwiiiiiiiiiii, kwanini kafa mapema jaman uwiiiiiiieee
Kufa ni sehemu ya maisha yeye kafa lkn kazi zake zipo RIP michael joseph jackson.
 
Mmoja wa watu wanaonisikitisha ni Top in Dar. Hata movie ya Girlfriend alicheza vizuri sana
 
Back
Top Bottom