muga jr
Member
- May 5, 2015
- 55
- 24
wachangie mara ngapi? wewe umechangia kiasi gani?
wacha kupangia watu matumizi ya pesa zao.....!!
Kuna biashara na "social responsibilities ( ethical practice)" sasa ndugu yangu unataka ije vp wakat kwenu tu pamoja kuwa na uwezo hamkuwahi kukaa na "yatima"