Mbona umri wa Sam kama wa Charlie na wa Charlie kama wa SamView attachment 1280104
Akikabidhiwa tuzo la rais la mcheza golf bora 2019. Mpaka sasa Tiger ni mcheza golf mwenye umri mdogo zaidi kupata tunzo hilo.
View attachment 1280106
Alisindikizwa na Erica girl friend wake, mama yake na watoto wake Sam 12 na Charlie 10.
Mke wa Tigger aliondoka na $100 million kama malipo ya talaka.
trump hana furaha, kajitengaView attachment 1280104
Akikabidhiwa tuzo la rais la mcheza golf bora 2019. Mpaka sasa Tiger ni mcheza golf mwenye umri mdogo zaidi kupata tunzo hilo.
View attachment 1280106
Alisindikizwa na Erica girl friend wake, mama yake na watoto wake Sam 12 na Charlie 10.
Mke wa Tigger aliondoka na $100 million kama malipo ya talaka.
Nimlimpe mtu bilioni 200 za kitanzania hivi hivi? Never!!!
Kabisaa mahakama za wenzetu zinajitambua hziyumbishwiAmekushika kisheria na mahakama za huko hazitiwi mfukoni kama Vumba Republic
Duuuh mkwAnja mrefu hivo aseee me siwezi
Aisee tutauana hapo,abaki tu nyumbani alee wanae
Nimlimpe mtu bilioni 200 za kitanzania hivi hivi? Never!!!
Kule ni balaa le mutuz alikimbia na pensi tu, kule mahakama haziingiliwi,Hapo unaongea na mahakama sio MKEO.
na hela hautoi mfukoni kumpa.
INAKATWA MOJA KWA MOJA KWENYE ACCOUNT YAKO YA BENKI.
marekani hawana mchezo na sheria.
Kuna mzee amenihadithia maisha ya marekani pamoja na hayo mambo ya talaka.
Unaweza ukalia kama wewe ndo unayetakiwa umlipe mkeo hela.
Mkuu hata ingekuwa ni Tz,huchomoki hapo..... Sheria inafuata mkondoKabisaa mahakama za wenzetu zinajitambua hziyumbishwi
Nimlimpe mtu bilioni 200 za kitanzania hivi hivi? Never!!!
P Diddy alikuwa na watoto wa4 mama mmoja.Mjanja P. Diddy, hakuna ndoa, ni kuwachapa tu. Maana ukimuoa tu, haipiti muda anaanza sokomoko za talaka. Ndoa ni kwa sie maskini, tajiri sio lazima kwani anapata yoyote tu