Walimpukutisha kila kitu?. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....! Wakamuachia kibamia tu?Kule ni balaa le mutuz alikimbia na pensi tu, kule mahakama haziingiliwi,
Swali hapa ni kwa nn Adelle alipe na sio mume wakeAliomba talaka kutoka kwa mumewe...ndo hivyo kutokana na sheria za huko inabidi mgawane net worth nusu kwa nusu....hivyo ikafaa amlipe mumewe $150M!!.....Hata yule Dada wa Michael Jackson, Janet Jackson alipotalakiana na yule bilionea wa kiarabu alilipwa $500M!!!!!...
Mkuu Roberto! Yaan Adelle muomba talaka anaweza je kumlipa mume wakeAliomba talaka kutoka kwa mumewe...ndo hivyo kutokana na sheria za huko inabidi mgawane net worth nusu kwa nusu....hivyo ikafaa amlipe mumewe $150M!!.....Hata yule Dada wa Michael Jackson, Janet Jackson alipotalakiana na yule bilionea wa kiarabu alilipwa $500M!!!!!...
Si ana utajiri mkubwa kuliko mumewe....nadhani thamani ya jumla ya mali zenu ndo hugawanywa nusu kwa nusu....... Hivyo kwa yule aliyekuwa na kiasi kikubwa itabidi amlipe mwenzieSwali hapa ni kwa nn Adelle alipe na sio mume wake
yaani ishu ipo hivi, mnagawana mali zenu zote kwa pamoja nusu kwa nusu, adelle alikuwa na mpunga mwingi kuliko mumewe, so yeye ndiye aliemfidia/lipa mumewe ili wa-equalizeMkuu Roberto! Yaan Adelle muomba talaka anaweza je kumlipa mume wake
Amshukuru mchizi wake alikuwa na corolla akampeleka airportWalimpukutisha kila kitu?. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....! Wakamuachia kibamia tu?
Adelle alilipa kwakuwa yeye ndiye aliyetaka waachane na mumewe hakuwa akimtesaSi ana utajiri mkubwa kuliko mumewe....nadhani thamani ya jumla ya mali zenu ndo hugawanywa nusu kwa nusu....... Hivyo kwa yule aliyekuwa na kiasi kikubwa itabidi amlipe mwenzie
Aliomba talaka kutoka kwa mumewe...ndo hivyo kutokana na sheria za huko inabidi mgawane net worth nusu kwa nusu....hivyo ikafaa amlipe mumewe $150M!!.....Hata yule Dada wa Michael Jackson, Janet Jackson alipotalakiana na yule bilionea wa kiarabu alilipwa $500M!!!!!...
Hajakoma kuoa wazungu ngoja na huyo achukue chakeView attachment 1280104
Akikabidhiwa tuzo la rais la mcheza golf bora 2019. Mpaka sasa Tiger ni mcheza golf mwenye umri mdogo zaidi kupata tunzo hilo.
View attachment 1280106
Alisindikizwa na Erica girl friend wake, mama yake na watoto wake Sam 12 na Charlie 10.
Mke wa Tigger aliondoka na $100 million kama malipo ya talaka.
View attachment 1285842
Elin ex wife akiwa na mtoto wake wa kwanza kwenye relationship mpya
Jordan Cameron and Elin Nordegren were seen out with their new baby Friday evening
Kwani Marples na Ivana walilipwa?Sipati picha Trump akikinukisha Melanie atakavyozibeba.
Hata cristiano ronaldomjingamimi,
Mjanja P. Diddy, hakuna ndoa, ni kuwachapa tu. Maana ukimuoa tu, haipiti muda anaanza sokomoko za talaka. Ndoa ni kwa sie maskini, tajiri sio lazima kwani anapata yoyote tu
.mh! Na vipi kwa Woods?Adelle alilipa kwakuwa yeye ndiye aliyetaka waachane na mumewe hakuwa akimtesa
Ila nilisikia eti alikatazwa kuvaa hijabu...Kumbe walishawchana?
Jamani Yule dada hadi alibadili dini yeye na kaka yake Mareh Michael
ππππWoods alikuwa addicted na casual sex, yalipofumuka malaya wote walijitokeza. Mke akadai talaka.
Na yule mwengine ll cool j rapper. Ingawa mwanzo na yeye na yule mwanamke hakuwa ya straight forward. Ila baadae alikuja kutulia. Ndio maana wenzetu wanafanya pre nupKuna ndoa zenye upendo na nidhamu kama ya Denzel Washington