Uskute mwanamke kaamua ku sabotage tu ndoa aondoke na mkwanja akale raha na marioo wake...Aisee tutauana hapo,abaki tu nyumbani alee wanae
Hakuoa lakini japo alimpenda sana ila ndoa haikuwepo.. kuna kitu nimegundua mwanamke hata akikupenda vp ukishamuonyesha udhaifu basi yuko tayari kuachana naww ili apate faida flani kwani anaamini atapata mwingine tena... put a woman in her place and always watch her.. if you mis out even for a second the concequences of your actions will leave a mark of a lifetime..P Diddy alikuwa na watoto wa4 mama mmoja.
Tunawaza sawana mie nikiwa na uwezo huo wala sina sababu ya kuoa...najipigia tuu demu mpya kila mwezi. una hela alafu unaoa mie sielewi kabisa hii kitu
Mkewe woods alishtukia jamaa anachepuka.mh! Na vipi kwa Woods?
Hii imenikumbusha ile kitu inaitwa mavumba mkoa fulani. Huko kwa wenzetu hawakuangalii usoni, inabidi ujibu tu masaibu yako.Amekushika kisheria na mahakama za huko hazitiwi mfukoni kama Vumba Republic
Ndomana jamaa anazeeka kwa kasi na msione anatabasamu mkajua ana furaha...
mwanamke kaondoka na dol100 million ambazo kiasi kikubwa kachuma jamaa peke yake...
mimi hili suala haliniingii akilini kabisa
P diddy jembemjingamimi,
Mjanja P. Diddy, hakuna ndoa, ni kuwachapa tu. Maana ukimuoa tu, haipiti muda anaanza sokomoko za talaka. Ndoa ni kwa sie maskini, tajiri sio lazima kwani anapata yoyote tu
Trump ana pre nup contractSipati picha Trump akikinukisha Melanie atakavyozibeba.
nimeona umuhimu wa kuficha mali zingine ambazo mke hawezi jua kama unazoNdio hapo sasa, na demu wenyewe alikuwa beki tatu tu. Hizi sheria nyingine hizi we acha tu.
nimeona umuhimu wa kuficha mali zingine ambazo mke hawezi jua kama unazo
mimi nakupa hiyo hela ila nawapa na waganga 100 milion miamia natoa advance 30 wakikuua ndani ya mwaka au uwe chizi namalizia 70 to each.mammmmaaeAmekushika kisheria na mahakama za huko hazitiwi mfukoni kama Vumba Republic
Uskute mwanamke kaamua ku sabotage tu ndoa aondoke na mkwanja akale raha na marioo wake...
Thiery henry naye yalimkuta kama haya
TrueHakuoa lakini japo alimpenda sana ila ndoa haikuwepo.. kuna kitu nimegundua mwanamke hata akikupenda vp ukishamuonyesha udhaifu basi yuko tayari kuachana naww ili apate faida flani kwani anaamini atapata mwingine tena... put a woman in her place and always watch her.. if you mis out even for a second the concequences of your actions will leave a mark of a lifetime..
kutokana na mambo ambayo nimeyaona kwa watu mbali mbali.. nimethibitisha ndoa ni Gereza la wanaume