ExpertBroker
JF-Expert Member
- Jun 1, 2009
- 454
- 107
NIMEPOST HII KWENYE PAGE YA TIGO WAMEIFUTA IN A SECOND!!!......... "Nawasiliana na Mwanasheria wangu kwa wizi unaofanywa na TIGO! Nimefuatilia kwa wiki moja sasa baada ya kupuuzia muda mrefu nilichokuwa naambiwa! Nimekuwa naangalia salio kabla sijalala, lakini kila ikifika saa6 usiku, TIGO wame-set ikatwe shs 45 kila siku! Kama wewe ni mteja wa TIGO, fuatilia hili!! Japo yaonekana ndogo, lakini Shs45 kwa siku, kwa watu million mbili kwa mfano, ni sawa na Shs90 Million kwa siku, sawa na Shs 2.7 billion kwa mwezi, pesa ya mishahara ya staff wenu na masalia kibao! WIZI MTUPU"