RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,432
hiyo ni kwa mitandao yote mkuu. salio unaloliacha sio hilo utakalolikuta kesho yake asubuhi. airtel nadhan ndo hawaibi.
mmmmmmmmmmh
Mi naweka hela zangu kwenye M-pesa nachomoa kulingana na ninachokihitaji.. Then najiunga na ninachotaka kwenye Salio langu hutokuta zaidi ya Tsh 0.
Kwahiyo kuibiwa kwangu ni hamna