ExpertBroker
JF-Expert Member
- Jun 1, 2009
- 454
- 107
hiyo ni kwa mitandao yote mkuu. Salio unaloliacha sio hilo utakalolikuta kesho yake asubuhi. Airtel nadhan ndo hawaibi.
Kama umejiunga na huduma ya muito kwa mpigaji(caller tone)hayo makato yanahusika.mimi niliona ni upuuzi nikajitoa kitambo.sasa hv ukinipigia ni triiii.....triiii
We yaani airtel ndio kabisa yaani mm sielewi kila siku nikiweka hela lzm nikute km 300 imekatwa nimejaribu kujitoa hadi kny huduma ya miito ya cm lkn wapi yaan nina hasira nao kweli ukija kny upande wa airtel money ndo usiseme yaan ni matatizo matupu!! Labda atleast kwa upande wa internet angalau wanajitahidHiyo ni kwa mitandao yote mkuu. Salio unaloliacha sio hilo utakalolikuta kesho yake asubuhi. Airtel nadhan ndo hawaibi.
Kama umejiunga na huduma ya muito kwa mpigaji(caller tone)hayo makato yanahusika.mimi niliona ni upuuzi nikajitoa kitambo.sasa hv ukinipigia ni triiii.....triiii
Hizi kampuni bana we acha, yaani ni wizi mtupu, mi hata sijui akina January wanafanya nini!
Nina laini ya airtel sitaipiga kwa leo. Najaribu hii kitu
Sasa hivi ni saa 08:07pm salio langu la airtel ni Tsh 808.
Nitakuja na salio langu kila nitakapojiskia mpaka tuone huo wizi.
Sijajiunga ktk huduma yeyote ya kipuuzi.
Kama umejiunga na huduma ya muito kwa mpigaji(caller tone)hayo makato yanahusika.mimi niliona ni upuuzi nikajitoa kitambo.sasa hv ukinipigia ni triiii.....triiii
NIMERUDI. Sasa hivi ni saa 06:37am ni siku nyingine 10/04/2013. Salio langu la airtel bado ni ile ile Tsh 808.
CONCLUSION: Inaonekana airtel hawaibi hivi vijisalio vyetu labda wizi mwingine. Hem volunteer mwingine wa tigo afanye lakini ambaye hajajiunga ktk hivi vihuduma vya kiseng.e sen.ge
Mkuu unajitoaje hiyo miito kwenye Tigo na Airtel ,hata mi ishakuwa kero nataka nibaki na miito ya ngriiii ngriiii mi maimuna unasemaje?
Mkuu tusaidie namna ya kujitoa kwenye janga hili, mi niliingia mkenge ila sasa nataka kujitoa!!!
Kama umejiunga na huduma ya muito kwa mpigaji(caller tone)hayo makato yanahusika.mimi niliona ni upuuzi nikajitoa kitambo.sasa hv ukinipigia ni triiii.....triiii