hiyo ni kwa mitandao yote mkuu. salio unaloliacha sio hilo utakalolikuta kesho yake asubuhi. airtel nadhan ndo hawaibi.
mmmmmmmmmmh
Mi naweka hela zangu kwenye M-pesa nachomoa kulingana na ninachokihitaji.. Then najiunga na ninachotaka kwenye Salio langu hutokuta zaidi ya Tsh 0.
Kwahiyo kuibiwa kwangu ni hamna
Voda hawana mambo ayo ya ki.k.uma