Last Seen
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 229
- 566
Tigo wameboresha Vifurushi vyao vya malipo ya baada kama ifuatavyo.
DATA ONLY
15K......15GB
30K......35GB
40K.......48GB
60K.......72GB
100k........120GB
COMBO
15K........10GB + dakika 400
30K........25GB +Dakika 1000
40K.......35GB + Dakika 2000
60K........55GB + Dakika 3000
100K......100GB + Dakika 6000
Ili Kujiunga unapaswa kuwa na viambatanisho vifuatavyo.
Pia, Kabla hujaungwa na huduma utapaswa kulipia security deposit ambayo ni thamani halisi ya pesa ambayo utakuwa unalipia kila mwisho wa mwezi. Mfano; Ukihitaji bando la 30k, Utapaswa kulipia 30k kama security deposit.Hii security deposit itakuwa kama ulinzi tu na haitatumika popote, Ikitokea ukasitisha huduma na miezi yote ulilipia huduma hii pesa utarudishiwa kwenye Tigopesa yako.
Jinsi ya kulipia security deposit
1. Bonyeza Menu ya Tigopesa *150*01#
2. Kisha chagua namba '4' Lipa bili
3. Chagua namba '2' Kupata majina ya kampuni
4. Namba '6' TIGO bisiness
5. Kisha bonyeza namba '2' security deposit
6. Weka Kumbukumbu namba ambayo ni namba yako ya simu unayoitumia kwa Tigo B2B.
7. Kiasi unacholipia.
8. PIN
9. Thibitisha na Tuma.
Jinsi ya kulipia gharama za huduma baada ya matumizi (Mwisho wa mwezi)
Utapaswa kulipia huduma kila mwisho wa mwezi kupitia Tigopesa yako, na utakuwa na siku za ziada kumi na tano kukamilisha deni lako.
KUJIUNGA
Ukihitaji kujiunga nitumie viambatanisho nilivoeleza awali (leseni hai ya biashara,TIN na Kitambulisho cha NIDA) kupitia email hii lastseen@duck.com
NB
Sijaweka namba za simu kwa sababu baadhi ya wateja hawapendi kutambulika ID zao, email inakuwa rahisi zaidi.
Kama una swali au Kuna mahali hujaelewa unaweza kuuliza nitakujibu hapa.
Mshana Jr johnthebaptist GENTAMYCINE Raphael Thedomiri Medecin Watu8 zwenge ndaba Lavit je parle Msanii Bueno
DATA ONLY
15K......15GB
30K......35GB
40K.......48GB
60K.......72GB
100k........120GB
COMBO
15K........10GB + dakika 400
30K........25GB +Dakika 1000
40K.......35GB + Dakika 2000
60K........55GB + Dakika 3000
100K......100GB + Dakika 6000
Ili Kujiunga unapaswa kuwa na viambatanisho vifuatavyo.
- TIN number
- Kitambulisho/Leseni
- Leseni hai ya biashara
Pia, Kabla hujaungwa na huduma utapaswa kulipia security deposit ambayo ni thamani halisi ya pesa ambayo utakuwa unalipia kila mwisho wa mwezi. Mfano; Ukihitaji bando la 30k, Utapaswa kulipia 30k kama security deposit.Hii security deposit itakuwa kama ulinzi tu na haitatumika popote, Ikitokea ukasitisha huduma na miezi yote ulilipia huduma hii pesa utarudishiwa kwenye Tigopesa yako.
Jinsi ya kulipia security deposit
1. Bonyeza Menu ya Tigopesa *150*01#
2. Kisha chagua namba '4' Lipa bili
3. Chagua namba '2' Kupata majina ya kampuni
4. Namba '6' TIGO bisiness
5. Kisha bonyeza namba '2' security deposit
6. Weka Kumbukumbu namba ambayo ni namba yako ya simu unayoitumia kwa Tigo B2B.
7. Kiasi unacholipia.
8. PIN
9. Thibitisha na Tuma.
Jinsi ya kulipia gharama za huduma baada ya matumizi (Mwisho wa mwezi)
Utapaswa kulipia huduma kila mwisho wa mwezi kupitia Tigopesa yako, na utakuwa na siku za ziada kumi na tano kukamilisha deni lako.
KUJIUNGA
Ukihitaji kujiunga nitumie viambatanisho nilivoeleza awali (leseni hai ya biashara,TIN na Kitambulisho cha NIDA) kupitia email hii lastseen@duck.com
NB
Sijaweka namba za simu kwa sababu baadhi ya wateja hawapendi kutambulika ID zao, email inakuwa rahisi zaidi.
Kama una swali au Kuna mahali hujaelewa unaweza kuuliza nitakujibu hapa.
Mshana Jr johnthebaptist GENTAMYCINE Raphael Thedomiri Medecin Watu8 zwenge ndaba Lavit je parle Msanii Bueno