Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Napita pita mitandaoni asubuh hii naona picha za uzinduzi wa tigo fiesta Mwanza,kiukweli haishtui hata kidogo halaf haina mzuka hata wa kuwa curious kilichojiri huko,je kwamba Watanzania tumeshazoea haya matamasha au watu washawachoka wasanii wetu?