MUNISHI BOY
Senior Member
- Sep 13, 2017
- 143
- 117
Fiesta ilikuw lit sana jna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ulaya na marekani hakuna show za uwanjani ambapo watu wanasimama muda wote? Wakisema waweke show zao sehemu classic unazozitaka we na kiingilio ikaqa laki 1 je ni watu wangapi wanaweza kuafford? Mbona kwenye hivyo viwanja kuna majukwaa na unaweza kukaa ukatazama show bila kusukumana na MTU?unajuwa tuko vizuri katika studio music ila ni ukweli na tuweke ushabiki pembeni ikija katika suala la live music kuna shida kubwa sana unaweza kujiuliza ndio huyu aliyeimba. Halafu soko linalenga baadhi ya jamii maana sio kila mtu anaweza kwenda sehemu unasimama tu halafu kusukumana mara mikono juu mara kulia kushoto kuna watu wa enjoy hivyo ila ubunifu wa kuja na show classic unapigwa live mnakaa, mnacheza kwa nafasi hakuna hayo.
uyo tunamsubiri surprise ya dar es saaamWasanii wote wa buku mbili mbili.... Eti Nandi ndio msanii mkubwa... Bora wangemchukua Konde boy
Kuuliza si ujinga fiesta ndio nini?
Yaani kisa wewe Huna mzuka au kuwa curious or whatever the hell your mood is. Basi unajumuisha watanzania wote......[emoji848][emoji848]Crack headNapita pita mitandaoni asubuh hii naona picha za uzinduzi wa tigo fiesta Mwanza,kiukweli haishtui hata kidogo halaf haina mzuka hata wa kuwa curious kilichojiri huko,je kwamba Watanzania tumeshazoea haya matamasha au watu washawachoka wasanii wetu?