Tigo Fiesta 2019 imekua ya kawaida saaana

Madimba jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2017
Posts
1,577
Reaction score
3,146
Napita pita mitandaoni asubuh hii naona picha za uzinduzi wa tigo fiesta Mwanza,kiukweli haishtui hata kidogo halaf haina mzuka hata wa kuwa curious kilichojiri huko,je kwamba Watanzania tumeshazoea haya matamasha au watu washawachoka wasanii wetu?
 
Kumbe hukuwepo? Umeona picha then unaanzisha Uzi Wa namna hii? Acha roho mbaya aiseee

Wape moyo vijana wenzako hata baada ya kupata pigo la master mind wao ila wamefanya kitu kikubwa Sana usiku wa kuamkia leo
mbona umepanic bi shosti? hasira za nini sasa
 
Watu kama hawana habari sana na muziki ata wasafi yenyew imepoa sana sio kama mwaka jana
unajuwa tuko vizuri katika studio music ila ni ukweli na tuweke ushabiki pembeni ikija katika suala la live music kuna shida kubwa sana unaweza kujiuliza ndio huyu aliyeimba. Halafu soko linalenga baadhi ya jamii maana sio kila mtu anaweza kwenda sehemu unasimama tu halafu kusukumana mara mikono juu mara kulia kushoto kuna watu wa enjoy hivyo ila ubunifu wa kuja na show classic unapigwa live mnakaa, mnacheza kwa nafasi hakuna hayo.
 
Kuuliza si ujinga fiesta ndio nini?
 
Kumbe una taka shangwe kwa instagram[emoji28][emoji28][emoji28] haya endelea kulitafuta...

Ila yote ya yote hawa jamaa wana jua kufunga Sound na stage hakuna ubishi kwa hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…