Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa katika bwana
Ile show kubwa kuliko inayojulikana kama tigo fiesta mbion kuanza kuwashwa mara baada ya miaka miwili iliyopita kutofanyika
Kwa mara ya kwanza kwa mwaka huu itaanza kuwashwa arusha ambapo wasanii kibao wakali watakinukisha na watatisha kuliko, katika wasanii watakao kiwasha ni ROMA MKATOLIK WA VATIKAN PAMOJA NA STAMINA WA MORO KASORO roma ataamusha dude na ngoma yake mpya ya zimbabwe ataipafom jukwaan kwa mara ya kwanza
Wasanii wengine watakaopanda stegin ni
VANESA JUX WEUS NGOSHA RICHAD MAVOKO COYO SAIDA KAROL NA WENGINE WENG kama stereo na ney wa mitego
show itakuwa kali ya kuotea mbali kama zile ambazo hufanyika mwanza kwa udhamin wa jembe na shigongo na dialo
Wasanini ni wengi sana
Edu boy, young kiler, ben paul
Cc baby mbitiyaza
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile show kubwa kuliko inayojulikana kama tigo fiesta mbion kuanza kuwashwa mara baada ya miaka miwili iliyopita kutofanyika
Kwa mara ya kwanza kwa mwaka huu itaanza kuwashwa arusha ambapo wasanii kibao wakali watakinukisha na watatisha kuliko, katika wasanii watakao kiwasha ni ROMA MKATOLIK WA VATIKAN PAMOJA NA STAMINA WA MORO KASORO roma ataamusha dude na ngoma yake mpya ya zimbabwe ataipafom jukwaan kwa mara ya kwanza
Wasanii wengine watakaopanda stegin ni
VANESA JUX WEUS NGOSHA RICHAD MAVOKO COYO SAIDA KAROL NA WENGINE WENG kama stereo na ney wa mitego
show itakuwa kali ya kuotea mbali kama zile ambazo hufanyika mwanza kwa udhamin wa jembe na shigongo na dialo
Wasanini ni wengi sana
Edu boy, young kiler, ben paul
Cc baby mbitiyaza
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app